Mapungufu katika Wimbo wa Taifa la Tanzania

Habarini wakuu,
Hili ni wazo tu wala sio ukosoaji

Wimbo wetu wa taifa ni mzuri, lakini mimi naona badala ya kuzanza MUNGU IBALIKI AFRICA, TUANZE NA MUNGU IBARIKI TANZANIA.

tukifanya hivyo huenda mambo yetu wanaweza kwenda vizuri, huenda baraka zote zinagawanyika kwenda nchi nyingine za africa badala ya kuja kwetu.

pia ubeti wa MUNGU IBARIKI TANZANIA unajitosheleza kabisa, hatuitaji ubeti mwingine.

WIMBO WA TAIFA UONEKENE KAMA HIVI

Mungu Ibariki Afrika, (God Bless Africa)
Wabariki Viongozi Wake, (bless her leaders)
Hekima, Umoja na Amani (wisdom, unity and peace)
Hizi ni Ngao Zetu,(these are our shields)
Afrika na Watu Wake. (Africa and her people)
Ibariki, Afrika, (Bless,Africa)
Ibariki, Afrika, (Bless,Africa)
Tubariki, Watoto wa Afrika,(Bless, Children of Africa)

Uenda mambo yetu yata nyooka kuazia Michezo ya kimataifa. uchumi. Elimu, nk
kama katiba ibadalishwa kwann na wimbo wa taifa??

I LOVE TANZANIA
mkuu mbona na wewe umeanza na MUNGU IBARIKI AFRIKA,nilitegemea uwasilishe mawazo yako ndani ya huo revised wimbo ambao umeupendekeza
 
Habarini wakuu,
Hili ni wazo tu wala sio ukosoaji

Wimbo wetu wa taifa ni mzuri, lakini mimi naona badala ya kuzanza MUNGU IBALIKI AFRICA, TUANZE NA MUNGU IBARIKI TANZANIA.

tukifanya hivyo huenda mambo yetu wanaweza kwenda vizuri, huenda baraka zote zinagawanyika kwenda nchi nyingine za africa badala ya kuja kwetu.

pia ubeti wa MUNGU IBARIKI TANZANIA unajitosheleza kabisa, hatuitaji ubeti mwingine.

WIMBO WA TAIFA UONEKENE KAMA HIVI

Mungu Ibariki Afrika, (God Bless Africa)
Wabariki Viongozi Wake, (bless her leaders)
Hekima, Umoja na Amani (wisdom, unity and peace)
Hizi ni Ngao Zetu,(these are our shields)
Afrika na Watu Wake. (Africa and her people)
Ibariki, Afrika, (Bless,Africa)
Ibariki, Afrika, (Bless,Africa)
Tubariki, Watoto wa Afrika,(Bless, Children of Africa)

Uenda mambo yetu yata nyooka kuazia Michezo ya kimataifa. uchumi. Elimu, nk
kama katiba ibadalishwa kwann na wimbo wa taifa??

I LOVE TANZANIA
Mimi sijakuelewa kabisa,
Na nadhani umekosea.

Unadai tukiitaja Africa tunagawana Blessings za Sir God, but kwenye mapendekezo yako ya what to do umeitaja tena Africa mwanzo mwisho, ulikua unamaanisha nini??
 
Habarini wakuu,
Hili ni wazo tu wala sio ukosoaji

Wimbo wetu wa taifa ni mzuri, lakini mimi naona badala ya kuzanza MUNGU IBALIKI AFRICA, TUANZE NA MUNGU IBARIKI TANZANIA.

tukifanya hivyo huenda mambo yetu wanaweza kwenda vizuri, huenda baraka zote zinagawanyika kwenda nchi nyingine za africa badala ya kuja kwetu.

pia ubeti wa MUNGU IBARIKI TANZANIA unajitosheleza kabisa, hatuitaji ubeti mwingine.

WIMBO WA TAIFA UONEKENE KAMA HIVI

Mungu Ibariki Afrika, (God Bless Africa)
Wabariki Viongozi Wake, (bless her leaders)
Hekima, Umoja na Amani (wisdom, unity and peace)
Hizi ni Ngao Zetu,(these are our shields)
Afrika na Watu Wake. (Africa and her people)
Ibariki, Afrika, (Bless,Africa)
Ibariki, Afrika, (Bless,Africa)
Tubariki, Watoto wa Afrika,(Bless, Children of Africa)

Uenda mambo yetu yata nyooka kuazia Michezo ya kimataifa. uchumi. Elimu, nk
kama katiba ibadalishwa kwann na wimbo wa taifa??

I LOVE TANZANIA
Hata ukiwa unapeleka maombi na shida zako kwa Mungu, ni vyema ukaondoa kitu kinaitwa UBINAFSI. Anza kwa kuwaombea binadamu wenzio sababu na wao wana shida kama zako ukishamaliza kuombea binadam wenzio anza nawew kupeleka shida zako kwa Mungu. Mimi naona upo sawa tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nimekua nikitafakari Wimbo wetu wa taifa nikabaini kua una mapungufu kadhaa ambayo aidha yangetakiwa yarekebishwe au kutafuta wimbo mbadala.

Kwanza wimbo huu si wimbo wenye asili ya Tanzania ni wimbo tulioiga kutoka Afrika Kusini. Nionavyo mimi hii si dalili nzuri kuiga wimbo wa taifa na kutumia wimbo ambao hauna asili ya nchi unayoiwakilisha. Sidhani kama Tanzania tumekosa ubunifu kiasi cha kuiga wimbo wa nchi nyingine. Kuna sababu gani ya msingi kungiwa wimbo na wazulu?

Pili naona kwamba wimbo wetu haumjali mtanzania na wala haumpi kipaumbele hata kidogo, Hii inadhihirishwa na ukweli kwamba mambo baraka kwa mtanzania zimetajwa katika beti la pili, badala ya kuwa Beti la kwanza. Hii ni aibu na laana kwa watanzania. Tunajilaani wenyewe kwa kuwajali wageni kuliko sisi watanzania. Bahati mbaya hali hii imekua kama self fulfilling prophecy, ndio maana wageni wanatetemekewa na wenyeji wanaonekana mafala ndani ya nchi yao.

Huu wimbo umepitwa na wakati, Unazungumzia kudumisha uhuru wakati hakuna nchi inyotawaliwa sasa hivi. Ilikua sawa wakati wa kupigania uhuru na kipindi cha ujamaa kuwa na wimbo kama huu lakini sasa mambo yamebadilika, nchi zote zimejikomboa, wale tuliojipendekeza kuwasaidia kupigania uhuru wameshapata uhuru wao, hawatujali wala kututhamini na huku sisi tunaendeleza wimbo wa enzi hizo.

Vilevile naona wimbo huu haumjengei mtanzania mapenzi na nchi yake, haumfanyi mtu kuwa proud na nchi yake. Hakuna kitu chochote kinachozungumzia uzuri wa nchi yetu wala uzuri wa watanzania au ushujaa wa watanzania….hakuna.

Naomba tuendeleze mapungufu ya wimbo huu...

Napendekeza wimbo wa ‘Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote….' ukifanyiwa marekebisho kidogo ungefaa zaidi
Wengi wanadhani tumeiga wimbo wa Afrika Kusini hapana wetu ulianza na wao ulifuatia wakati wa Mandela, ukweli wa wimbo huu umo ndani ya nyimbo za kikristo za nchi za kusini Zambia, Malawi, Zimbabwe, Afrika Kusini na nyinginezo, aliyetunga maneno ni padri na nchi nilizozitaja zinatumia tuni hii kwenye sala zao na Afrika Kusini pia walibadilisha maneno tu.
 
Kuna mzungu mmoja alikejeli nchi za Africa kuwa nchi nyingi za Africa zina nyimbo za taifa ndefu sana wakimtaja mungu awabariki wakitegemea atawashushia maendeleo wakati ni wavivu ndio maana ni masikini

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maoni yako yana mvuto lakini siyo sahihi kwa sababu kadhaa.

(1) kwamba wimbo ulitungwa na mtu ambaye siyo mtanzania siyo sababu ya msingi ya kuubatilisha kama wimbo wa Taifa. Kuna nchi nyingi sana ambazo nyimbo zake za Taifa zilitungwa na raia wa nchi nyingine ambao hata hawakuwahi kukaa katika nchi zile; kwa mfano.
(a): Panama: ulitungwa na raia wa spain.
(c): Chile: ulitungwa na raia wa spain.
(b): Spain: ulitungwa na raia wa ujerumani.
(c): Uingereza: ulitungwa na raia wa ufaransa.

(2) Wimbo ule una beti mbili, beti ya kwanza inazungumzia Afrika ambayo Tanzania ni sehemu yake, na beti ya pila inazungumzia Tanzania specifically; kwa hiyo Tanzania inazungumzwa katika beti zote mbili ingawa mara nyingi ni ubeti wa pili tu unaotumika katiak functions nyingi.

Sijui wewe unaashiria nini kusema kuwa Tanzania imeongelewa katika ubeti wa pili tu kwa vila una maana ya kuse sisi siyo sehemu ya Afrika. Nyimbo za nchi nyingi sana zinaongelea humanity zaidi kuliko utaifa na wala hata hazitaji jina la nchi yao, kwa mfano wimbo wa taifa wa USA hautaji chochote kuhusu nchi ya USA, nimepata kopi rilycs zake kutoka wikipedia ni hiz hapa:
Code:
O! say can you see by the dawn's early light
What so proudly we hailed at the twilight's last gleaming?
Whose broad stripes and bright stars through the perilous fight,
O'er the ramparts we watched were so gallantly streaming?
And the rockets' red glare, the bombs bursting in air,
Gave proof through the night that our flag was still there.
O! say does that star-spangled banner yet wave
O'er the land of the free and the home of the brave?

On the shore, dimly seen through the mists of the deep,
Where the foe's haughty host in dread silence reposes,
What is that which the breeze, o'er the towering steep,
As it fitfully blows, half conceals, half discloses?
Now it catches the gleam of the morning's first beam,
In full glory reflected now shines in the stream:
'Tis the star-spangled banner! Oh long may it wave
O'er the land of the free and the home of the brave.

And where is that band who so vauntingly swore
That the havoc of war and the battle's confusion,
A home and a country should leave us no more!
Their blood has washed out their foul footsteps' pollution.
No refuge could save the hireling and slave
From the terror of flight, or the gloom of the grave:
And the star-spangled banner in triumph doth wave
O'er the land of the free and the home of the brave.

O! thus be it ever, when freemen shall stand
Between their loved home and the war's desolation!
Blest with victory and peace, may the heav'n rescued land
Praise the Power that hath made and preserved us a nation.
Then conquer we must, when our cause it is just,
And this be our motto: 'In God is our trust.'
And the star-spangled banner in triumph shall wave
O'er the land of the free and the home of the brave!
(3) Neno uhuru limetukia katika wimbo ule kwa maana pana zaidi ya hiyo unayodhani ya kukwepa ukoloni. Nina imani kuwa hadi leo hii umshasikiwa watu wanalalamika kukosa uhuru ndani ya nchi yao. Ukienda kwenye mbuga za Loliondo, utajikuta kuwa huna uhuru wa kufanya ambayo ungefanya kabla ya kuingia pale hata kama hujavunja sheria yoyote ya nchi. uhuru huyo ndio unaoongelewa katika wimbo wetu. I love the song:
[ame]

(4) Pendekezo lako la kutumia wimbo wa "Tanzania Tanzania nakupenda..." ni zuri, lakini vile ukubali kuwa pendekezo hili linaweza kusikikilizwa tu kama wewe una uhuru wa kutoa mapendekezo.

No. 1 amesema ni wimbo tuliouiga kutoka Afrika ya kusini yaani tume kopi na kupest wimbo wao wa NKOSI SIKELELI AFRIKA

Sent using Jamii Forums mobile app
 
No. 1 amesema ni wimbo tuliouiga kutoka Afrika ya kusini yaani tume kopi na kupest wimbo wao wa NKOSI SIKELELI AFRIKA

Sent using Jamii Forums mobile app
Sukukelewa post yako. Sijakataa kuwa wimbo ulitungwa na raia wa South Afrika, nilichosema ni kuwa kutungwa na raia wa Afrika ya kusini hakuufanyi usistahili kuwa wimbo wa Taifa Tanzania. Ndiyo maana nikatoa mifanyo ya nchi nyingine ambazo zina nyimbo za Taifa ambazo zilitungwa na raia wa nchi nyingine kabisa.
 
Nimekua nikitafakari Wimbo wetu wa taifa nikabaini kua una mapungufu kadhaa ambayo aidha yangetakiwa yarekebishwe au kutafuta wimbo mbadala.

Kwanza wimbo huu si wimbo wenye asili ya Tanzania ni wimbo tulioiga kutoka Afrika Kusini. Nionavyo mimi hii si dalili nzuri kuiga wimbo wa taifa na kutumia wimbo ambao hauna asili ya nchi unayoiwakilisha. Sidhani kama Tanzania tumekosa ubunifu kiasi cha kuiga wimbo wa nchi nyingine. Kuna sababu gani ya msingi kungiwa wimbo na wazulu?

Pili naona kwamba wimbo wetu haumjali mtanzania na wala haumpi kipaumbele hata kidogo, Hii inadhihirishwa na ukweli kwamba mambo baraka kwa mtanzania zimetajwa katika beti la pili, badala ya kuwa Beti la kwanza. Hii ni aibu na laana kwa watanzania. Tunajilaani wenyewe kwa kuwajali wageni kuliko sisi watanzania. Bahati mbaya hali hii imekua kama self fulfilling prophecy, ndio maana wageni wanatetemekewa na wenyeji wanaonekana mafala ndani ya nchi yao.

Huu wimbo umepitwa na wakati, Unazungumzia kudumisha uhuru wakati hakuna nchi inyotawaliwa sasa hivi. Ilikua sawa wakati wa kupigania uhuru na kipindi cha ujamaa kuwa na wimbo kama huu lakini sasa mambo yamebadilika, nchi zote zimejikomboa, wale tuliojipendekeza kuwasaidia kupigania uhuru wameshapata uhuru wao, hawatujali wala kututhamini na huku sisi tunaendeleza wimbo wa enzi hizo.

Vilevile naona wimbo huu haumjengei mtanzania mapenzi na nchi yake, haumfanyi mtu kuwa proud na nchi yake. Hakuna kitu chochote kinachozungumzia uzuri wa nchi yetu wala uzuri wa watanzania au ushujaa wa watanzania….hakuna.

Naomba tuendeleze mapungufu ya wimbo huu...

Napendekeza wimbo wa ‘Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote….' ukifanyiwa marekebisho kidogo ungefaa zaidi
Kwa kuongezea , kipengere cha " WABARIKI VIONGOZI WAKE " kifutwe ili kila mtu apate nafasi ya kujiombea mwenyewe , tusilazimishwe kuwaombea viongozi ambao sasa imedhihirika kwamba wamelewa madaraka , baada ya kulitambua hilo mimi nilishaacha kuimba wimbo wenyewe
 
Nimekua nikitafakari Wimbo wetu wa taifa nikabaini kua una mapungufu kadhaa ambayo aidha yangetakiwa yarekebishwe au kutafuta wimbo mbadala.

Kwanza wimbo huu si wimbo wenye asili ya Tanzania ni wimbo tulioiga kutoka Afrika Kusini. Nionavyo mimi hii si dalili nzuri kuiga wimbo wa taifa na kutumia wimbo ambao hauna asili ya nchi unayoiwakilisha. Sidhani kama Tanzania tumekosa ubunifu kiasi cha kuiga wimbo wa nchi nyingine. Kuna sababu gani ya msingi kungiwa wimbo na wazulu?

Pili naona kwamba wimbo wetu haumjali mtanzania na wala haumpi kipaumbele hata kidogo, Hii inadhihirishwa na ukweli kwamba mambo baraka kwa mtanzania zimetajwa katika beti la pili, badala ya kuwa Beti la kwanza. Hii ni aibu na laana kwa watanzania. Tunajilaani wenyewe kwa kuwajali wageni kuliko sisi watanzania. Bahati mbaya hali hii imekua kama self fulfilling prophecy, ndio maana wageni wanatetemekewa na wenyeji wanaonekana mafala ndani ya nchi yao.

Huu wimbo umepitwa na wakati, Unazungumzia kudumisha uhuru wakati hakuna nchi inyotawaliwa sasa hivi. Ilikua sawa wakati wa kupigania uhuru na kipindi cha ujamaa kuwa na wimbo kama huu lakini sasa mambo yamebadilika, nchi zote zimejikomboa, wale tuliojipendekeza kuwasaidia kupigania uhuru wameshapata uhuru wao, hawatujali wala kututhamini na huku sisi tunaendeleza wimbo wa enzi hizo.

Vilevile naona wimbo huu haumjengei mtanzania mapenzi na nchi yake, haumfanyi mtu kuwa proud na nchi yake. Hakuna kitu chochote kinachozungumzia uzuri wa nchi yetu wala uzuri wa watanzania au ushujaa wa watanzania….hakuna.

Naomba tuendeleze mapungufu ya wimbo huu...

Napendekeza wimbo wa ‘Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote….' ukifanyiwa marekebisho kidogo ungefaa zaidi
Ivi Tz na S.Africa nani ulianza kupata uhuru?
 
Mwaka 1996 shule ya msingi Mapambano tulikuwa hatuuimbi huu wimbo mstarini na badala yake tulikuwa tunauimba wimbo Wa Tanzania Tanzania nakupenda kwa moyo wote.
Nalog off
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom