Kwakweli japokua mimi ni mwanademokrasia sijapata kusikia wimbo huu wa taifa ukiimbwa halafu wanachama hawa wenzetu wakachomekea neno Chadema badala ya Tanzania kwenye ubeti huo! Kama ni kweli basi itakua ni mandumila kuwili wasio kitakia chama hiki mema, ni kweli tunaheshimu sana wimbo huu wa taifa na wala hatuna nia ya kuipotosha jamii kwa kufanya hivyo hii itakua ni sawa na kubadilisha bendera ya taifa na kupandisha bendera yenye nembo nyingine! hata mimi napiga vita kuhusiana na tabia hiyo kama ipo au imeshajitokeza. Alunta Continue!
Kama Tanzania wameichoka basi Wahamie kwenye hiyo nchi inayoitwa Chadema.