NANCA
Member
- Jun 23, 2023
- 92
- 100
Mimi nadhani wimbo wetu tukufu wa taifa unafaa kubadilishwa hasa pale panaposema WABARIKI VIO-NGOZI WETU maana haiwezekani tukawa tunawaombea baraka viongozi matapeli, wanyanyasaji na wakandamizaji Kama baadhi ya hawa tulio nao.
Na huwenda haya tunayopitia na kutosikiwa na Mungu huwenda ni sababu ya midomo yetu na baraka tunazowaombea katika wimbo ule.
Huenda Mungu anatushangaa kwamba "aah hawa ni machizi nini mbona wanalia wanaonewa na hao viongozi afu hapohapo wanawaombea baraka kwangu au wanadanganya hawaonewi chochote" Kiufupi matendo ya viongozi wetu yameunajisi wimbo wetu wa taifa.
Yani huenda unakuata kiongozi anawekesha watu chupa za makalio, mwizi, mmakaji, mzurumati, tapeli, jambazi, anua watu huko migodini, anaibia nchi mafuta bandarini, anakwiba fedha za umma, muuwaji, anaibia masikini wake zao, anatia mimba watoto wa shule, jizi la ardhi za watu afu eti unapoimba wimbo wa taifa umuombee baraka. Hiyo no, wimbo ubadirike hapo tufute
Na huwenda haya tunayopitia na kutosikiwa na Mungu huwenda ni sababu ya midomo yetu na baraka tunazowaombea katika wimbo ule.
Huenda Mungu anatushangaa kwamba "aah hawa ni machizi nini mbona wanalia wanaonewa na hao viongozi afu hapohapo wanawaombea baraka kwangu au wanadanganya hawaonewi chochote" Kiufupi matendo ya viongozi wetu yameunajisi wimbo wetu wa taifa.
Yani huenda unakuata kiongozi anawekesha watu chupa za makalio, mwizi, mmakaji, mzurumati, tapeli, jambazi, anua watu huko migodini, anaibia nchi mafuta bandarini, anakwiba fedha za umma, muuwaji, anaibia masikini wake zao, anatia mimba watoto wa shule, jizi la ardhi za watu afu eti unapoimba wimbo wa taifa umuombee baraka. Hiyo no, wimbo ubadirike hapo tufute