Wimbo wa Taifa ubadilishwe

NANCA

Member
Jun 23, 2023
92
100
Mimi nadhani wimbo wetu tukufu wa taifa unafaa kubadilishwa hasa pale panaposema WABARIKI VIO-NGOZI WETU maana haiwezekani tukawa tunawaombea baraka viongozi matapeli, wanyanyasaji na wakandamizaji Kama baadhi ya hawa tulio nao.

Na huwenda haya tunayopitia na kutosikiwa na Mungu huwenda ni sababu ya midomo yetu na baraka tunazowaombea katika wimbo ule.

Huenda Mungu anatushangaa kwamba "aah hawa ni machizi nini mbona wanalia wanaonewa na hao viongozi afu hapohapo wanawaombea baraka kwangu au wanadanganya hawaonewi chochote" Kiufupi matendo ya viongozi wetu yameunajisi wimbo wetu wa taifa.

Yani huenda unakuata kiongozi anawekesha watu chupa za makalio, mwizi, mmakaji, mzurumati, tapeli, jambazi, anua watu huko migodini, anaibia nchi mafuta bandarini, anakwiba fedha za umma, muuwaji, anaibia masikini wake zao, anatia mimba watoto wa shule, jizi la ardhi za watu afu eti unapoimba wimbo wa taifa umuombee baraka. Hiyo no, wimbo ubadirike hapo tufute
 
Mkinichagua kuwa Rais, ndani ya siku 100 za uongozi wangu uliotukuka; nitawaita magwiji wa nota za muziki nchini ili wayaboreshe mashairi ya ule wimbo wa Tazama ramani ili uwe ndiyo wimbo wa Taifa. Wimbo wa kibabe sana ule.

Huu wa sasa kwanza umepooza! Halafu tulidesa kutoka kwa mtunzi wa Afrika ya Kusini. Hivyo sioni kama una tija kwenye dunia ya sasa. Kwanza hauna chembe chembe za uzalendo. Zaidi ya kuleta hizo stori za kubariki watu, sijui viongozi, na bla bla nyingine.
 
Mkuu wimbo huu ukibadilishwa hivi sasa, wimbo mpya utajaa vituko virupu, na kwa jinsi nchi hii hivi sasa ilivyojaa machawa wengi, wimbo huo utaharibiwa na kujaa sifa na kuaabudu, na hata utasikia vionjo vya maneno mengi yakujipendekeza kama vile kutajwa kabisa kwa jina la Dkt. Samia Suluhu ndani yake.

Kwanza kwa kadiri ninavyoijua serikali ya CCM jinsi ilivyo, jukumu la utunzi wa wimbo huo watamkabidhi mtu kama Mrisho Mpoto ili kwa makusudi ya kuweka vionjo vya kichawa ndani yake. Hapo tegemea kupata maboko matupu tu.
 
Mimi nadhani wimbo wetu tukufu wa taifa unafaa kubadilishwa hasa pale panaposema WABARIKI VIO-NGOZI WETU maana haiwezekani tukawa tunawaombea baraka viongozi matapeli, wanyanyasaji na wakandamizaji Kama baadhi ya hawa tulio nao.

Na huwenda haya tunayopitia na kutosikiwa na Mungu huwenda ni sababu ya midomo yetu na baraka tunazowaombea katika wimbo ule.

Huenda Mungu anatushangaa kwamba "aah hawa ni machizi nini mbona wanalia wanaonewa na hao viongozi afu hapohapo wanawaombea baraka kwangu au wanadanganya hawaonewi chochote" Kiufupi matendo ya viongozi wetu yameunajisi wimbo wetu wa taifa.

Yani huenda unakuata kiongozi anawekesha watu chupa za makalio, mwizi, mmakaji, mzurumati, tapeli, jambazi, anua watu huko migodini, anaibia nchi mafuta bandarini, anakwiba fedha za umma, muuwaji, anaibia masikini wake zao, anatia mimba watoto wa shule, jizi la ardhi za watu afu eti unapoimba wimbo wa taifa umuombee baraka. Hiyo no, wimbo ubadirike hapo tufute
Ni kweli viongozi wetu ni matapeli. Kama huyu wasasa ndiyo kabisa bomu Tena la kienyeji. Mpaka najiuliza hivi alitoka wapi? Na aliwezaje huko nyuma kushika nyadhifa za juu Angalia ni kiazi kiasi hiki?
 
Tunaanza kubariki kwanza Afrika ,then yunajibariki sisi Mabwanyenye na Wananchi wake.
Wimbo umekaa kihuruma huruma sana.
 
Mimi nadhani wimbo wetu tukufu wa taifa unafaa kubadilishwa hasa pale panaposema WABARIKI VIO-NGOZI WETU maana haiwezekani tukawa tunawaombea baraka viongozi matapeli, wanyanyasaji na wakandamizaji Kama baadhi ya hawa tulio nao.

Na huwenda haya tunayopitia na kutosikiwa na Mungu huwenda ni sababu ya midomo yetu na baraka tunazowaombea katika wimbo ule.

Huenda Mungu anatushangaa kwamba "aah hawa ni machizi nini mbona wanalia wanaonewa na hao viongozi afu hapohapo wanawaombea baraka kwangu au wanadanganya hawaonewi chochote" Kiufupi matendo ya viongozi wetu yameunajisi wimbo wetu wa taifa.

Yani huenda unakuata kiongozi anawekesha watu chupa za makalio, mwizi, mmakaji, mzurumati, tapeli, jambazi, anua watu huko migodini, anaibia nchi mafuta bandarini, anakwiba fedha za umma, muuwaji, anaibia masikini wake zao, anatia mimba watoto wa shule, jizi la ardhi za watu afu eti unapoimba wimbo wa taifa umuombee baraka. Hiyo no, wimbo ubadirike hapo tufute
Jamii mbovu haiwezi kipuzaa viongozi waadilifu. Aina ya viongozi tulionao ni reflection ya jamii yetu ilivyo. Wabovu sio viongozi tu, bali hata wale wasio viongozi ni wabovu sema kwakuwa sio viongozi hatuwezi kuthibitisha ubovu wao. Ili tupate viongozi waadilifu inabidi tu overhaul mfumo mzima wa jamii yetu. Na hili sio jukumu la viongozi tu , bali jamii nzima ya Tanzania. Rejea kuhusu Swedish jentaloven.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom