Mapungufu katika Wimbo wa Taifa la Tanzania

Nasikia kuna watu wanasema wimbo una ladha na mandhari ya kikatoliki. Pia upo kwenye katekisimu ya wakatoliki...
Hivi ni kweli??????
 
Kwani tukianza Ubeti wa kwanza na Mungu Ibariki Tanzania kwanza, halafu Ubeti wa pili ndio Mungu awabariki hao wengine kuna tatizo gani? huko sio kuubadilisha wimbo huu mzuri bali ni kuuweka kiuhalisia tu zaidi, yaani maudhui yale yale isipokuwa mpangilo wa beti ndio tubadilishe!!

Ukitaka kula kiini cha yai lililochemshwa sharti utoe maganda kisha kula ile sehemu yenye ute mweupe kisha kufika katika kiini. Afrika ndiyo njia kuifikia Tanzania
 
Nasikia kuna watu wanasema wimbo una ladha na mandhari ya kikatoliki. Pia upo kwenye katekisimu ya wakatoliki...
Hivi ni kweli??????

Hilo ni kweli na halina ubishi, na sababu ni kwamba mambo ya Nyimbo za taifa yanatoka Ulaya, na Nyimbo za Taifa zote za Wazungu zimetokana na Nyimbo za Kanisa, kwa kifupi ni Utamaduni wa Wazungu, na Utamaduni wa Wazungu maanake Utamaduni wa Kanisa!

 
Nasikia kuna watu wanasema wimbo una ladha na mandhari ya kikatoliki. Pia upo kwenye katekisimu ya wakatoliki...
Hivi ni kweli??????

Katafute katekisimu uhakikishe km ni kweli. Ni uzushi tu huo..
 
Na kwanini isianze mungu ibariki dunia?hivi africa ni bora kuliko dunia?only in tanganyika a.k.a tanzania.
Kweli hapa muhimu ni kuiombea dunia kwani Africa ni sehemu yake, ila ingependeza kuiombea nchi yetu na hilo ndio muhimu, tuubadili wimbo huu.
 
Kwenye sherehe ya Kenya leo,ubeti wa 'Mungu Ibariki Afrika' uliimbwa,na MC alisema kwamba huu ni wimbo wa Afrika lakini Tz na Afrika Kusini wanatumia kama wimbo wa Taifa.
 
Wanabodi, huu ni wimbo ulitungwa na mwalimu wa dini wa Kimethodisti bwana Enoch Sontonga wa Afrika Kusini mwishoni mwa karne ya 19. Nkosi Sikelel' iAfrika yaani Mungu Ibariki Afrika. Hivyo ni wimbo wa Afrika. ANC walianza kuutumiaa mwaka 1925 kama wimbo wao rasmi. Nasi tulipopata uhuru tukauchukua. Ndiyo maana ubeti wa kwanza unaiimba Afrika. Nchi zote zinazotumia wimbo huo, Tanzania, A Kusini, zamani Zambia, Zimbabwe na Namibia zimeimba ubeti wa kwanza kuhusu Afrika na ubeti wa pili kuhusu nchi zao.

Pia nimjibu Remote kuwa ni kweli wimbo huo una mahadhi ya kidini, si Kikatoliki bali Kimethodisti ambayo inataka kufanana na Ukatoliki. Vitabu vingi vya nyimbo za Kikristo, hususani Afrika Kusini vina huu wimbo.

Ni wimbo wa Afrika hasa. Umejaa Uafrika.
 
Wimbo wetu wa Taifa unahitajika kuandikwa upya pia. Uliopo ulilenga kuikomboa Afrika. At least the job well done.

Tunahitaji wimbo ambao una-touch current generation...

Mfano: Leo Tanzania Tanzania Nakupenda unaonekana mzuri hata zaidi ya wimbo wa Taifa wenyewe.

Mwisho
Katiba mpya, wimbo mpya!!!!
 
Wimbo wetu wa Taifa unahitajika kuandikwa upya pia. Uliopo ulilenga kuikomboa Afrika. At least the job well done.

Tunahitaji wimbo ambao una-touch current generation...

Mfano: Leo Tanzania Tanzania Nakupenda unaonekana mzuri hata zaidi ya wimbo wa Taifa wenyewe.

Mwisho
Katiba mpya, wimbo mpya!!!!

Mungu ibariki Tanganyika ina tatizo gani?
 
Ni neno gani unaona kuwa ni la kiukombozi kwenye huo wimbo? mbona maneno yapo sawa kabisa kuiombea baraka Africa ni kosa? labda ungesema kwa melodi hiyo hiyo ungeongezwa ubeti mmoja wa kuiombea dunia nzima kwani sasa hivi dunia kijiji na wamoja na Mungu hapendi umimi anapenda hata kwenye maombi usijiombee wewe mwenyewe ila waombee na jirani zako
 
Ni neno gani unaona kuwa ni la kiukombozi kwenye huo wimbo? mbona maneno yapo sawa kabisa kuiombea baraka Africa ni kosa? labda ungesema kwa melodi hiyo hiyo ungeongezwa ubeti mmoja wa kuiombea dunia nzima kwani sasa hivi dunia kijiji na wamoja na Mungu hapendi umimi anapenda hata kwenye maombi usijiombee wewe mwenyewe ila waombee na jirani zako
Wimbo wa sasa hauna Tatizo. Hauimbwi sana kwa kuwa Hekima, Umoja na Amani si ngao zetu kwa muda sasa. Sasa hivi ni Siasa, Wizi na Ulafi.

Hapo red ni wimbo wa Taifa sio dunia!
 
Wimbo wa sasa hauna Tatizo. Hauimbwi sana kwa kuwa Hekima, Umoja na Amani si ngao zetu kwa muda sasa. Sasa hivi ni Siasa, Wizi na Ulafi.

Hapo red ni wimbo wa Taifa sio dunia!
Kumbe wewe hata ukiwa na ukimya wa kuongea na Mungu wako huwa unajiombea mwenyewe tuu?
 
Kumbe wewe hata ukiwa na ukimya wa kuongea na Mungu wako huwa unajiombea mwenyewe tuu?
We are talking about national Identity. Inawezekana tunaongea na falsafa tofauti kabisa. A Nationalist vs A Globalist!
Its a Nation Anthem not International/Global Anthem!
 
Wimbo wetu wa Taifa unahitajika kuandikwa upya pia. Uliopo ulilenga kuikomboa Afrika. At least the job well done.

Tunahitaji wimbo ambao una-touch current generation...

Mfano: Leo Tanzania Tanzania Nakupenda unaonekana mzuri hata zaidi ya wimbo wa Taifa wenyewe.

Mwisho
Katiba mpya, wimbo mpya!!!!

Wimbo wa sasa wa Taifa ulitungwa na KWAYA ya Mtakatifu Sesilia. Tutafute wimbo wa kuwaunganisha watanzania wa dini zote
 
watunzi wapo wapi? subiri tenda tuone, anaweza shinda captain John Komba Peke yake, halafu utasikia wimbo ni wa CCM "nambari one eeeeeeeeeeeeeeeeeeeee nambari one ni Tanganyika"
Wimbo wetu wa Taifa unahitajika kuandikwa upya pia. Uliopo ulilenga kuikomboa Afrika. At least the job well done.

Tunahitaji wimbo ambao una-touch current generation...

Mfano: Leo Tanzania Tanzania Nakupenda unaonekana mzuri hata zaidi ya wimbo wa Taifa wenyewe.

Mwisho
Katiba mpya, wimbo mpya!!!!
 
Wimbo wa sasa wa Taifa ulitungwa na KWAYA ya Mtakatifu Sesilia. Tutafute wimbo wa kuwaunganisha watanzania wa dini zote

hii kwaya ya Mt. Sesilia ilikuwa kiboko na kutoa tune ambayo inatumika na South Africa, Zimbabwe na Zambia...mavi ya tembo pilau, sasa hivi lazima iwe zamu yetu watu wa upande wa pili kutunga wimbo wa Tanganyika.
Wimbo wa Taifa hautafutwi unatungwa, tukitafuta tunaweza pata tune ya Malawi au Oman
 
Hivi leo hii kati ya wimbo wa taifa wa sasa na ule Tanzania Tanzania Nakupenda kwa moyo wote? Upi unaku-touch? au una-touch watu wengi? jibu lako huo ndio utakuwa wimbo mwafaka ambao unahitaji marekebisho kidogo... Alafu hamuoni kwamba zile tunu za taifa ndio tunahitaji kuziweka kwenye wimbo wa taifa?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom