Basi panakufaa sana, na kuna waterfalls amazingAaah mie na vurugu vurugu hatupatani kabisa. Napenda maeneo matulivu yenye miti miti, maji nk
Wow!! Ngoja nijipange.Basi panakufaa sana, na kuna waterfalls amazing
Ukihitaji mtu wa kukuongoza ukiwa huko karibu PM........nilisoma mpaka hapa nikatabasamu baadae tabasamu likapotea!Lushoto ni chaguo zuri mkuu. Ukihitaji mtu wa kukuongoza ukiwa huko karibu PM nitakupatia namba ya tour guide tuliemtumia sisi
Safari tu ya kupanda kutokea Mombo ni burudani tosha.Wow!! Ngoja nijipange.
Daah napenda nature sana.Safari tu ya kupanda kutokea Mombo ni burudani tosha.
Ukajua mimi ndo muongozaji mwenyewe au? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ukihitaji mtu wa kukuongoza ukiwa huko karibu PM........nilisoma mpaka hapa nikatabasamu baadae tabasamu likapotea!
Mimi nature ni kitu kinachonipa utulivu wa moyo. Nikiwa na uchovu wa kazi au kichwa kimevuruga na viumbe wa Mungu huwa napenda kukaa sehemu niangalie bahari au miti. Mazingira ya kijani yananibariki sana moyo wanguDaah napenda nature sana.
Mkuu umewahi fika ziwa Natron?
Uone milima Oldongo lengai?
Kutoka ziwani upande kona 18?
Ujiwa juu mlimani utazame lake view ya Natron?
Aaah
Aiseee,Mmasai kaingia discoShanga umevaa?
Tatizo lako nawe hubanduki baharini...aaah badilikaš¤£Mimi nature ni kitu kinachonipa utulivu wa moyo. Nikiwa na uchovu wa kazi au kichwa kimevuruga na viumbe wa Mungu huwa napenda kukaa sehemu niangalie bahari au miti. Mazingira ya kijani yananibariki sana moyo wangu
Trip yangu ya kwanza Natron hakika nilitokwa na machozi ya furaha nilipoona umaridadi wa uumbaji....Mimi nature ni kitu kinachonipa utulivu wa moyo. Nikiwa na uchovu wa kazi au kichwa kimevuruga na viumbe wa Mungu huwa napenda kukaa sehemu niangalie bahari au miti. Mazingira ya kijani yananibariki sana moyo wangu
Napenda bahari rafiki ila huko kusipokua na bahari naenda pia ila kuwe na mazingira ya maji pia..Tatizo lako nawe hubanduki baharini...aaah badilika[emoji1787]
Pellaiah uisome hii mdogo wangušNature saves life, unapofika kwenye nature kunakua na mind development ndio maana nature inatunzwa kwa gharama kubwa lakini wale wenzangu wa live band, kitambaa cheupe huko usitupeleke kabisa bora kwa shishi food nikapige kisinia outing imeishia hapo
Twende mwezi wa 4Hii swiss farm naona mnaitaja sana.
Naanza kuvutiwa kwenda pia
Utimize zile ahadi kwanza dogo languTwende mwezi wa 4
šMwenye Idea gani sasa wakati ushachagua Lushoto we nenda
AsanteWengine ni aged kabisa lakini wamekua na mtazamo wao potofu.
Hakuna mapumziko bora kama ukiwa mwenyewe.