Mapumziko ya Mwili na Akili, Lushoto

Mapumziko ya Mwili na Akili, Lushoto

Nimeipenda hiyo sentensi yako ya mwisho maana vijana wengi hudhani sex ndio kila kitu ukiwa kwenye mazingira tulivu kama hayo

Yani sometimes all we need is just to be alone somewhere peaceful

Maisha ni kukubali kuwa binadamu tunatofautiana vipaumbele
Umepigilia msumari mzito Zodwa Ukiona mtu anaimba sex kila kona ujue ni msha japo kazeeka.
Kuna mapumziko ya akili..
Kuna mapumziko ya mwili
Kuna mapumziko ya kazi

Lakini kubwa zaidi ni mapumziko ya
KAzi, mwili na akili..
Hapa huhitaji sex bali mazingira tulivu tu
 
No sijawahi, Mtwara sijawahi kufika kabisa. Nikipata nafasi mwaka huu nataka niende Mafia na Mtwara
Yeah Mtwara na Lindi kuna very attractive beaches asee

Vile nimesoma umesema unapenda miti na bahari basi Msimbati is one of the beaches itayokupa both views at once

Siyo kama beach zetu za Dar hizi karibu zote ziko Mjini hakuna utulivu kuna majengo all over

Mimi binafsi napenda views za bahari, maziwa, misitu na milima bila kusahau waterfalls

Hata Kyela kule ziwa Nyasa pia kuna views design kama hiyo if it is in your wishlist
 
Umepigilia msumari mzito Zodwa Ukiona mtu anaimba sex kila kona ujue ni msha japo kazeeka.
Kuna mapumziko ya akili..
Kuna mapumziko ya mwili
Kuna mapumziko ya kazi

Lakini kubwa zaidi ni mapumziko ya
KAzi, mwili na akili..
Hapa huhitaji sex bali mazingira tulivu tu
Touché
 
Yeah Mtwara na Lindi kuna very attractive beaches asee

Vile nimesoma umesema unapenda miti na bahari basi Msimbati is one of the beaches itayokupa both views at once

Siyo kama beach zetu za Dar hizi karibu zote ziko Mjini hakuna utulivu kuna majengo all over

Mimi binafsi napenda views za bahari, maziwa, misitu na milima bila kusahau waterfalls

Hata Kyela kule ziwa Nyasa pia kuna views design kama hiyo if it is in your wishlist
Ziwa Nyasa sikuwahi kupafikiria but nitaweka kwenye wishlist yangu sambamba na Msimbati. I hope kabla ya June this year nitaenda sehemu moja wapo kati ya hizo. [emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
 
Au kwenda kidimbwi, elements huko hakuna starehe ni kujiumiza ubongo
Tu

Ova
HIi inategemea na mindset ya mtu na experience yake katika mambo.
Kuna watu huwatoi kwenye ma vibe ya clubs na sehemu kama za samaki samaki palivyo na kelele za kufa mtu hasa zile saa wanapotangaza watoto na wajawazito waondoke zianze amsha amsha.
 
Nature saves life, unapofika kwenye nature kunakua na mind development ndio maana nature inatunzwa kwa gharama kubwa lakini wale wenzangu wa live band, kitambaa cheupe huko usitupeleke kabisa bora kwa shishi food nikapige kisinia outing imeishia hapo
Mimi na mazonge yangu,maumjinimjini
Ila linapokuja suala la miti,nature
Napenda sana
Ule ukijani naupenda sana sana

Ova
 
Back
Top Bottom