We mtoto wewe.... nshakwambia unituwe! Nimekutongoza ukanikatalia afu hapa unaniwekea uzibe tu. Malabuku zako na nusu.
HHahahahaha
Huyo Mwenye soksi nyekundu katisha balaaa ni Mafikizolo
Ndo yeye haki ya nani
Huyu mwengine ni Bishop Hiluka
Mmmetisha saana!!!!
Nshamwambia jirani.... Yani labda itokee tu.... sio kwa hiari yetu. Yani itokee tu. BaaaasTeh teh teh
Mwambie huyooo jirani mwambieee..
Wewe mnyakyusa?