MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,684
- 7,837
Ndugu zangu Wazuru mtambue sisi wangoni kwa asili ni wa south tulikuja Tanzania tukapiga kambi kule Songea Nyasa
Sasa je na Wanyakyusa nao wakianza kututimua si itakuwa kasheshe naomba mtatue mambo yenu bila kubaguana sisi wote ndugu wa taifa moja Africa
Sasa je na Wanyakyusa nao wakianza kututimua si itakuwa kasheshe naomba mtatue mambo yenu bila kubaguana sisi wote ndugu wa taifa moja Africa