Makofi kwa wana Morogoro kwa mapokezi murua ya Ni Yeye 2020
Mkuu..bora hata angezijibia jukwaani angekuwa amewapa heshima kidogo..anawajibia akiwa hapohapo juu ya gari.CCM ikiona hivi wanakimbilia kwa Tume kudai wamefanya kampeni.wakati huo huo Lissu anajibu Kesi zao hapo hapo jukwaani.
Unapoteza muda sana
Kunasehem nimetaja hasaraHasara ni yangu au ni yako
😀😁😂😅😄😃😃Kwhiooo tumeibiwaaaaa