Mapokezi ya Nyerere huko Uingereza

Jamani mambo yamebadilika sana siku hizi. Miaka ya zamani kumuona rais mweusi ilikuwa big dili.

Zakumi,

Mwalimu kakukosea nini? Alimnyima au alimfukuza kazi mzee wako?

Ulimuona Nyerere kama ni "raisi mweusi" tu? Hata baada ya kumsikiliza hapa, ikiwa umefanya hivyo, bado huoni alikuwa zaidi ya - "raisi mweusi" tu?

Nakumbuka pia nyakati zilizopita ulivyo mkejeli Nyerere, pamoja na Nkrumah, uliposema "viongozi wenu hao."

Viongozi wako wa Kiafrika miaka ilie walikuwa ni nani? Kenyatta, Mobutu, Kamuzu Banda, Felix Houphouet-Boigny na wengineo kama hao, vibaraka wa nchi za Magharibi?

Walinganishe hao na Ahmed Sekou Toure, Nyerere, Nkrumah, Gamal Abdel Nasser, Modibo Keita, Marien Ngouabi, na Ahmed Ben Bella. Ukiwa mkweli, utaona kuna tofauti kubwa sana kati yao in terms of their commitment to Africa's wellbeing.
 

Zakumi,

Mwalimu kakukosea nini? Alimnyima au alimfukuza kazi mzee wako?

Ulimuona Nyerere kama ni "raisi mweusi" tu? Hata baada ya kumsikiliza hapa, ikiwa umefanya hivyo, bado huoni alikuwa zaidi ya - "raisi mweusi" tu?

Nakumbuka pia nyakati zilizopita ulivyo mkejeli Nyerere, pamoja na Nkrumah, uliposema "viongozi wenu hao."

Viongozi wako wa Kiafrika miaka ilie walikuwa ni nani? Kenyatta, Mobutu, Kamuzu Banda, Felix Houphouet-Boigny na wengineo kama hao, vibaraka wa nchi za Magharibi?

Walinganishe hao na Ahmed Sekou Toure, Nyerere, Nkrumah, Gamal Abdel Nasser, Modibo Keita, Marien Ngouabi, na Ahmed Ben Bella. Ukiwa mkweli, utaona kuna tofauti kubwa sana kati yao in terms of their commitment to Africa's wellbeing.
Shwari,
Na wewe hujaonekana siku nyingi. Nafarijika kukuona hapa. Huyu Zakumi nilisha "give up" on him na kumwacha alivyo.
 
Shwari,
Na wewe hujaonekana siku nyingi. Nafarijika kukuona hapa. Huyu Zakumi nilisha "give up" on him na kumwacha alivyo.

Jasusi,

Bado nipo mara nyingi, kimya kimya.

Ndiyo Zakumi huyo. Haridhiki bila kumkejeli, na kumdharau, Mwalimu.
 
I wish I could turn back to those times, when it was worthy being in a List of Tanzanians
 
This is so awesome!!! Nilikuwa sijaona hii, mwaka gani huu alipotembelea huko?
 
Hii marekani na holywood zimeharibu watu kudhani maisha bora yako kwenye pure capitalism peke yake.

Kimweri,

Hata Marekani hakuna ubepari halisi. Habari za Marekani na ubepari halisi ni usasili [myth] tu!

Ni ubepari gani halisi ulio social welfare programs?

Local, state, na federal government, zote hizo zina welfare programs za aina moja ama nyingine.

Watu wasiojiweza [au wenye uwezo mdogo] hupata misaada mbalimbali ambayo hutokana na pesa za walipa kodi.

Kuna social security, kuna Medicare, kuna medicaid, kuna SSI, kuna WIC, kuna TANF, food stamps [EBT cards], section 8 housing, etc.

Huo ni ubepari halisi kweli?

Labda tofauti iliyopo kati ya Marekani na nchi zingine kama za Ulaya magharibi na Skandinavia ni kiasi tu cha pesa kielekezwacho kwenye hizo programs.

Lakini dhana nzima ya ubepari halisi kuwepo Marekani, kiuhalisia haipo.
 
Hapana. Ziara zake katika western countries zinazidi ziara zake China. Usiseme vitu kwa dhana wakati kuna facts.

Kama rais alikwenda China mara kumi na tatu. Tupe nchi moja ya magharibi aliyokwenda mara 13 kama rais.
 
Siasa za Sampuli ya Mwalimu ndio zinatawala Western Europe yote ambao account za benki bado zinasoma. Uingereza Nchi ina madeni kibao hadi inaogopa kukopa tena.

Tazama nchi za kisocialist kwa maana ya ujerumani, scandinavian countires etc.., zote zina common theme.., elimu ni ya kiwango kitakatifu, na inatolewa BURE. huduma za afya zina universal coverage na hazina mfanowe kwa ubora.


Hii marekani na holywood zimeharibu watu kudhani maisha bora yako kwenye pure capitalism peke yake. Merkel Ujerumani, na social democrat yao hadi kesho mabepari wanapanga foleni kuomba mikopo. CHINA na ucommunist wao hadi kesho marekani credit line haikauki.., na hawa ndio wamefanikiwa kwenye kumilikisha njia kuu za uchumi kwa wananchi wao wenyewe. Industrial revolution ya china kama kila kampuni kubwa ya china ingekuwa ya wageni, leo hii serikali ingekuwa apeche haina hata senti, kwani kodi hazitoshi. Bepari kulipa kodi ni mtihani mzito..,


Nyerere alikuwa bianadamu amefanya makosa, lakini huwezi sema likosa master plan.., ni vile tu sisi kama nchi hatukuw atayari kupitia proper HELL ili kuvuka..., wachina walipita kwenye hell late 70's walipovuka hapo wanamuachia kila mtu vumbi.., sisi mambo yalivyokaba tukanyoosha mikono juu na kugeuka ndondocha tusio na identity.


Mnaboronga tu hapa. Nyie mnayemsifia Nyerere mgekuwa mnathamini siasa zake, msingeruhusu mtu kama Magufuli na Lowassa kuwa wagombea urais 2015. Wanagombea kwa sababu, watanzania karibu wote mnajua utamu wa greed.

Tukirudi kwenye nchi za Magharibi, nchi ulizotaja hapo zina TAX BASE nzuri na vilevile wana TAX SYSTEMS nzuri. Hivyo wana uwezo wa kukopa na kulipa. Per capital ya Marekani ni 54,629.5. Wakati per capita ya China 7,593.9. Mlinganyo huu mdogo unaonyesha kuwa Marekani anaweza kukopa na kulipa wakati wowote hule
 

Zakumi,

Mwalimu kakukosea nini? Alimnyima au alimfukuza kazi mzee wako?

Ulimuona Nyerere kama ni "raisi mweusi" tu? Hata baada ya kumsikiliza hapa, ikiwa umefanya hivyo, bado huoni alikuwa zaidi ya - "raisi mweusi" tu?

Nakumbuka pia nyakati zilizopita ulivyo mkejeli Nyerere, pamoja na Nkrumah, uliposema "viongozi wenu hao."

Viongozi wako wa Kiafrika miaka ilie walikuwa ni nani? Kenyatta, Mobutu, Kamuzu Banda, Felix Houphouet-Boigny na wengineo kama hao, vibaraka wa nchi za Magharibi?


Walinganishe hao na Ahmed Sekou Toure, Nyerere, Nkrumah, Gamal Abdel Nasser, Modibo Keita, Marien Ngouabi, na Ahmed Ben Bella. Ukiwa mkweli, utaona kuna tofauti kubwa sana kati yao in terms of their commitment to Africa's wellbeing.

Swari

Anavyozungumza Nyerere naviona ni vitu vya kawaida. Sasa kuna dhambi gani? Na vitu vingine alivyozungumza ni ndoto za alinacha. Ujamaa si ndoto? Hakuweza kuujenga akiwa hai.

Biblia inaniambia kuwa Mungu kaniumba kwa mfano wake. Koran inanimbia Mungu kaniumba niwe mtawala wa viumbe wote. Afu wewe unataka nikomalie siasa za Nyerere?


 
Kimweri,

Hata Marekani hakuna ubepari halisi. Habari za Marekani na ubepari halisi ni usasili [myth] tu!

Ni ubepari gani halisi ulio social welfare programs?

Local, state, na federal government, zote hizo zina welfare programs za aina moja ama nyingine.

Watu wasiojiweza [au wenye uwezo mdogo] hupata misaada mbalimbali ambayo hutokana na pesa za walipa kodi.

Kuna social security, kuna Medicare, kuna medicaid, kuna SSI, kuna WIC, kuna TANF, food stamps [EBT cards], section 8 housing, etc.

Huo ni ubepari halisi kweli?

Labda tofauti iliyopo kati ya Marekani na nchi zingine kama za Ulaya magharibi na Skandinavia ni kiasi tu cha pesa kielekezwacho kwenye hizo programs.

Lakini dhana nzima ya ubepari halisi kuwepo Marekani, kiuhalisia haipo.


Hakuna ubepari halisi. Na kuna social programs zilizoanza Marekani na baadaye kuchukuliwa na nchi zingine za magharibi zikiwemo za ki-socialist anazotaja Kimweri. Ukichukua mambo ya shule by 1930, 100% ya watoto Marekani walikuwa wanakwenda shule. Na ilikuwa ni moja ya nchi za mwanzo kutoa elimu mpaka ya high school bure. Na walifanya hivyo sio kukopi kutoka kwa wasocialist, bali ilikuwa internal innovation.
 
Shwari,
Na wewe hujaonekana siku nyingi. Nafarijika kukuona hapa. Huyu Zakumi nilisha "give up" on him na kumwacha alivyo.

Lol Jasusi:

Tatizo nyinyi ni wanafiki. Mnapenda maneno ya Mwalimu. Lakini hamuyafuati. Kwanini mnataka kiongozi awe kama Mwalimu wakati maisha yenu sio compatible na mafundisho yake? Mnafikiri huyo kiongozi atadondoka kutoka mbiguni?
 
Hivi huyu Rais anaemaliza muda wake madarakani ameshawahi kuhutubia chuo chochote nje ya Tanzania na Africa?
 
Duh asante mkuu Nyani Ngabu, hakika umenigusa na kunifanya niwaze, hivi kweli kuna siku heshima yetu itarudi kufikia wakati wa Mzee huyu?
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom