Kibanga Ampiga Mkoloni
JF-Expert Member
- Aug 9, 2007
- 18,697
- 8,843
Alberto bana sema ukweli. You never liked zitto kwani ulikuwa unastrategize againgst him kila usiku! Ulikuwa unakusanya evidences againgst him hadi alipotoka madarakani. Problem was, you never liked Ruge either so ulikosa strong insider backing.
Lakini at the end baada ya zitto kutoka madarakani na kufanikiwa kusambaratisha mpango wake wa kumrithisha demu wake madaraka, tofauti zilitoweka. Zitto mwenyewe alijivuna kwamba hana marafiki/maadui wa kudumu bali interest ya kudumu. Huyo Omar by then alikuwa mvuta bangi tu ndo maana hata wakamchana viwembe pale Nkuruma wakati wa kumnadi shemeji yake, Mary mugurusi. Nobody took him serious na ndo maana watu walipuuza human right chapter ya udsm wakati ule kwa sababu tu iliongozwa na Omar.
CC: Ben Saanane
tehteh so Mary ndio klikuwa Kiduku cha Zitto ? Kumbe kaanza siku nyingi haya mambo.
Last edited by a moderator: