Mchungaji,
Jana kuna thread nime comment kuhusu yanayoendelea huko Malawi na kama yataweza kutokea Tanzania. Nikasema Watanzania tumekuwa wapole sana kwa serikali yetu. Serikali imejaa kibri na inajiona inaweza kufanya lolote kwa wananchi na bado inategemea kuwepo madarakani. Watanzania tume kuwa kama hatuna namna ya kuiwajibisha serikali yetu. Tunalalama tuu. Nikasema pia tatizo moja kubwa ambalo linatukabili ni kuwa tumekubali matatizo yanayotukabili kuwa part ya maisha yetu. Matokeo yake tunaishia kulalamika tuu bila kuchukua concrete action to eradicate the problems. Nikaweka picha hiyo hapo chini na kusema kuwa kama inafikia hatua ya watu kama hao kuyakubali matatizo kuwa part ya maisha then, there is nothing you can do about it.
Nikasema people believe things have fallen apart and that "It is no Longer at Ease" like it used to be. But they're doing nothing because they strongly believe "A Man of the People" will come around and rescue them. Nikasemasa there are also those who believe that "The Beautiful Ones are not yet Born", kwa hiyo wanasubiri mpaka wazuri wazaliwe. Lakini naamini the majority are afraid of "The Petals of Bloods" ndio maana tunasizitiza amani na utulivu. We're afraid to face "The Trial of Dedan Kimathi".
Mchungaji kama umepitia huko Twitter, Facebook na blogs za Watanzania, jaribu kusoma comments zilizoachwa na wachangiaji. Mara nyingi wachangiaji wanasema Eee Mungu tusaidie. Wengi wanaamini there is nothing they can do about the problems they are facing, so they have left it to God to help them. Hata wakati wa Mapinduzi ya Tunisia na Misri watu hapa walikuwa wanamwomba Mungu yatokee pia Tanzania. Then, jaribu kupitia blogs za Wakenya. They don't mention God in their comments, unless ni issue ya kidini. They don't depend on God to fix their problems. Kama Wakenya walikuwa wanamtegemea Mungu wasingepata katiba mpya.
Kwa kifupi siamini kama mapinduzi yanakuja Tanzania. Not yet. Bado sana. Tena sana. Tutandelea kulalamika, kutoipenda serikali n.k lakini yote tutamwachia Mungu. Sijui huko kanisani huwa mnawafundisha nini waumini. Kuwa mwombe Mungu tuu na matatizo yako yote yataisha?
Mmmh, amazing!! hapo ndipo penye shida tena. Maana kukishakuwa na mgawanyiko kati ya wanajeshi hiyo vita yake haitaisha. Yatakuwa kama ya Ghadaf. Wenzetu wa Tunisia na Misri walipata mafanikio makubwa kwa kuwa jeshi lote liliwaunga mkono wananchi. Lakini sitashangaa kama kweli hao vijana wanampenda JK. Maana kama watu wanatestia mabomu yao kwa raia (cf. Mbagala, gongolamboto) na bado hakuna hata mmoja anayechukuliwa hatua za kisheria, kwanini wasimpende.
mkuu hata kama umenihakikishia ni rafiki zako siamini unalolisema, labda huyu rafiki zako si raia wa nchi hii!mkuu vijana waliomaliza mafunzo ya jeshi huko monduli juzi mwz wa pili huwaambii chochote kuhusu shimbo na jk, wanawapenda kuliko maelezo, rafiki zangu kabisa nilimaliza nao udsm na walikuwa wapinzani wakubwa wa serikali ndo walisema maneno hayo baada yakutoka kwenye mafunzo, nahisi kuna kitu wamelishwa, au hulka ya ubinafsi.
Mwaka 1982 walijaribu ... Miaka 30 baadaya wanaweza kutenda! Ujasiri hauji hivi hivi - Ujasiri upatikana baada ya kushindwa katika njia zote zinazofaa!
Kweli Mods waache watanzania watoe dukuduku lao kuhamisha au kutoa topic kama hizi ni ku practice uoga tunaouzungumzia kuwafanya watanzania wawe watu wa kujadili mambo na matukio mepesi mepesi, na usalama wa taifa hapa ndipo sehemu nzuri ya kujua watanzania wana mawazo gani kuhusu nchi yao na kuyapeleka kunakohusika.
"Sisi kama jeshi hatuwezi kufanya mapinduzi, maana tukifanya hivyo tunaweza kujikuta tumekosa support ya wananchi. Ninyi wananchi ndiye mnayechangua serikali mnayoitaka, na sisi kama wanajeshi tunasimamia maamuzi ya wananchi. Lakini ikitokea kwamba wananchi hao hao walioichagua serikali wakaamua kuikataa serikali yao, sisi kama jeshi la wananchi bado tutakuwa upande wa wananchi" mwisho wa kunukuu.
basi hao marafiki ni wabinafsi sana na hawafai kuishi nji hii!mkuu nahisi serikali imeona njia sahihi ya kulinda maovu yao nikuwa karibu na jeshi, hivi umesahau jenerali shimbo alivyoropoka kipindi kile cha uchaguzi? Angali hata pesa wanazotengewa jeshini haziguswi na mkaguzi mkuu wa hesabu za serikali na wala hakuna wa kuhoji matumizi yake bungeni.
Sahihi kabisa ! Ni ukweli huu mchungu kuukubali, lakini ukirudi nyuma ni mfumo wetu na makuzi yetu! Anachosema Kiongozi wa Dini ama na serikali tuliaminishwa ni sahihi kabisa. Ndiyo maana hata viongozi wa dini wanatubeza eti ni chaguo la Mungu. Kupenda kwetu kuamini uwongo basi tunapelekea kila kitu kuomba nguvu za kimungu zitusaidie umeme urudi na rushwa iondoke.
Time is always a good judge...lets wait a little longer, with our concerted efforts I tend to believe we will be there one day!!!
Mchungaji asante kwa topic hii, mimi binafsi nashukuru Mungu kwa kutupa kiongozi legelege Kikwete....
Mchungaji,
Mchungaji kama umepitia huko Twitter, Facebook na blogs za Watanzania, jaribu kusoma comments zilizoachwa na wachangiaji. Mara nyingi wachangiaji wanasema Eee Mungu tusaidie. Wengi wanaamini there is nothing they can do about the problems they are facing, so they have left it to God to help them. Hata wakati wa Mapinduzi ya Tunisia na Misri watu hapa walikuwa wanamwomba Mungu yatokee pia Tanzania. Then, jaribu kupitia blogs za Wakenya. They don't mention God in their comments, unless ni issue ya kidini. They don't depend on God to fix their problems. Kama Wakenya walikuwa wanamtegemea Mungu wasingepata katiba mpya.
Kwa kifupi siamini kama mapinduzi yanakuja Tanzania. Not yet. Bado sana. Tena sana. Tutandelea kulalamika, kutoipenda serikali n.k lakini yote tutamwachia Mungu. Sijui huko kanisani huwa mnawafundisha nini waumini. Kuwa mwombe Mungu tuu na matatizo yako yote yataisha?
basi hao marafiki ni wabinafsi sana na hawafai kuishi nji hii!
WaTanganyika msijiongopeee HAMNA KABISA UJASIRI huo wa kuleta mapinduzi zaidi ya mapinduzi ya kilimo kuita kilimo kwanza.
Mapinduzi yanataka watu thabiti na waliojitolea kutetea maslahi ya wengi kwani lolote linaweza tokea. Nyie wengi ni wanafiki na kwa kuwa nchi mlipewa kwa njia ya barua basi mtasubiri hivyo hivyo mpaka barua nyingine ije.
Poleni sana
mm imeniuma ila ni KWELI
Watanzania wenzangu naomba niwakumbushe kwamba tunapoona kikwetwe ni tatizo tukumbuke yeye ni tunda la mti unaoitwa CCM. Mti mzuri huzaa matunda mazuri na mti mbovu huzaa matunda mabovu. Tutafanya kosa kubwa sana kama tutafikiria kuwa laweza kutokea jema ndani ya CCM. Juhudi zinazoonekana kufanywa kipindi hiki ni kutaka kuendelea kutawala na sio kuleta maendeleo.
Juhudi za mapambano ziendelee kwa nguvu zaidi kuliko hivi sasa. Hatua ya kwanza ilikuwa ni kuweka bayana tatizo kubwa la nchi hiii ni ufisadi, kwanza walikataa lakini sasa wamekubali; huu ni ushindi mkubwa sana. Kwa kuwa wananchi wameona na CCM imekubali hatua ya pili ni kuhoji kwa nini walitumia kodi zetu kufuga majambazi wa uchumi wetu na wao wamekuwa wanufaikaji wa huo mfumo?. Miaka 50 inawatosha kabisa kuonyesha uwezo wao.
1. Walianza na Nyerere - 24 Yrs
2. Akafuatia A.H. Mwinyi - 10Yrs
3. BWMkapa - 10yrs
4. Na sasa Kikwete - 6Yrs (Probabably will be 10Yrs)
Jamani hawa ni watu wanne tofauti lakini waliokuwa selected randomly from CCM busket. Waliosoma hesabu za probability inabidi kuitimisha kuwa kapu hili lina sample mbovu, should be rejected. Si watu hata na mipango yao ni mibovu kwa nini tudanganyike kufanya makosa tena?
Viongozi wa kusitasita na waoga wasioweza kusimamia maamuzi yao hawafai kabisa kabisa mfano S.Sita, Nape M. H. Mwakyembe na wengine wengi kitendo cha kutaka kuondoka CCM na kufanya mageuzi na kushindwa kufanya hivyo kwa ahadi za vyeo na leo wanapiga kelele za mageuzi ndani ya chama ni uzandikii na ubinafsi wa hali ya juu sana. Lengo la kutaka kutoka ni kutafuta nafasi za uongozi na si kuwatumikia wananchi. Watanzania msidanganyike na hawa wabinfsi. Tuliambiwa kuwa kuichagua CCM ni MAAFA.
Mimi naona mbali sijui wewe.
Ukweli mtupu!Nimekuwa nikiyasema haya humu jamvini all the times.Mpaka pale tutakaposema "Lets do something" then tutaweza kupata mabadiliko.Tofauti na hapo inakatisha tamaa sana.Kwasababu hakuna kitu kibaya duniani kama woga.Woga amongst other things unaweza kutafsirika kama ujinga.Mchungaji,
Jana kuna thread nime comment kuhusu yanayoendelea huko Malawi na kama yataweza kutokea Tanzania. Nikasema Watanzania tumekuwa wapole sana kwa serikali yetu. Serikali imejaa kibri na inajiona inaweza kufanya lolote kwa wananchi na bado inategemea kuwepo madarakani. Watanzania tume kuwa kama hatuna namna ya kuiwajibisha serikali yetu. Tunalalama tuu. Nikasema pia tatizo moja kubwa ambalo linatukabili ni kuwa tumekubali matatizo yanayotukabili kuwa part ya maisha yetu. Matokeo yake tunaishia kulalamika tuu bila kuchukua concrete action to eradicate the problems. Nikaweka picha hiyo hapo chini na kusema kuwa kama inafikia hatua ya watu kama hao kuyakubali matatizo kuwa part ya maisha then, there is nothing you can do about it.
Nikasema people believe things have fallen apart and that "It is no Longer at Ease" like it used to be. But they're doing nothing because they strongly believe "A Man of the People" will come around and rescue them. Nikasemasa there are also those who believe that "The Beautiful Ones are not yet Born", kwa hiyo wanasubiri mpaka wazuri wazaliwe. Lakini naamini the majority are afraid of "The Petals of Bloods" ndio maana tunasizitiza amani na utulivu. We're afraid to face "The Trial of Dedan Kimathi".
Mchungaji kama umepitia huko Twitter, Facebook na blogs za Watanzania, jaribu kusoma comments zilizoachwa na wachangiaji. Mara nyingi wachangiaji wanasema Eee Mungu tusaidie. Wengi wanaamini there is nothing they can do about the problems they are facing, so they have left it to God to help them. Hata wakati wa Mapinduzi ya Tunisia na Misri watu hapa walikuwa wanamwomba Mungu yatokee pia Tanzania. Then, jaribu kupitia blogs za Wakenya. They don't mention God in their comments, unless ni issue ya kidini. They don't depend on God to fix their problems. Kama Wakenya walikuwa wanamtegemea Mungu wasingepata katiba mpya.
Kwa kifupi siamini kama mapinduzi yanakuja Tanzania. Not yet. Bado sana. Tena sana. Tutandelea kulalamika, kutoipenda serikali n.k lakini yote tutamwachia Mungu. Sijui huko kanisani huwa mnawafundisha nini waumini. Kuwa mwombe Mungu tuu na matatizo yako yote yataisha?
RIP kwani anakufa au amekufa?nimeipenda hii R I P Kikwete!!
Jamaa wa magamba wanaweza kukwambia umeiba mawazo yao ambayo yapo kwenye ilani ya uchaguzi
EMT,
Ni kweli kabisa ya kuwa, jambo lililo ndani ya uwezo wa binadamu mwenyezi Mungu hahusiki kabisaaaaa. Ndo maana sisi binadamu tulipendelewa kuliko viumbe wengine wooooote!!
Always a 1000 Kilometers journey begins with one step.......
RIP kwani anakufa au amekufa?
Mkuu Barubaru kwani wewe ni mtanzania wa wapi? mbona unajitoa?ama ulishaukana uraia wako! Kauli zako kwakweli zinanihamasisha hata kuvaa bomu!!!WaTanganyika msijiongopeee HAMNA KABISA UJASIRI huo wa kuleta mapinduzi zaidi ya mapinduzi ya kilimo kuita kilimo kwanza.
Mapinduzi yanataka watu thabiti na waliojitolea kutetea maslahi ya wengi kwani lolote linaweza tokea. Nyie wengi ni wanafiki na kwa kuwa nchi mlipewa kwa njia ya barua basi mtasubiri hivyo hivyo mpaka barua nyingine ije.
Poleni sana