Donyongijape
JF-Expert Member
- May 28, 2010
- 1,497
- 814
na pia kuwe na organization ya kueleweka kwenye othr big cities km mwanza,mbeya,arusha! hapa lazima kitaeleweka tu!
say anything men,what i believe is that Tanzanians are tired!!!
Rafiki yangu mmoja,babake ni mkubwa sana serikalini huyo mzee nimekua nikibishana
nae sana kuhusu "serikali yao",....huyu jamaa alikua upande wa babake kila siku pale tunapokua
tuna bishana,...
nilishangaa sana jana aliposema:
"siipendi serikali hii tena,kama ni kweli bajeti zote hua zinapitishwa kwa rushwa,
hamna hata mbunge nitakae muona ni mzalendo maana siku zote wamejua
haya lakini hakuna aliye wahi kusema,
lakini kwanini bajeti ipitishwe kwa rushwa?
hizo hela zitarudi vipi?
afu nasikia jairo kajiuzuru kwanini asifukuzwe na ashitakiwe?"
with those questions,nilikua sehem mbaya nikamuambia tutaongea ijumaa zaidi,..
he is against what he always believed,and am sure,he is not alone,he represents thousands of
Tanzanians
Change is coming,it might not be today but it will surely come
Sababu ya mapinduzi ipo, uwezo tunao, je nia ipoooo?
Sijui ni aina gani ya serikali ambayo inatuongoza hadi sasa. with alot of strategies, programmes, plans, and targets lakini kila ukifanya evaluation it is almost nil! hakuna lolote practical on the ground. Sasa tatizo ni lipi?
INAKERA
- Wasomi legelege: wengi wa intellectuals tulionao ni legelege kwa maana ya kuwa ile 'critical thinking' haipo tena zaidi ya kuwa wanatawaliwa na siasa za vyama. Utaalam wao ni hopeless kwa vile wanaishia kulaumu mfumo, badala ya kuleta mfumo utaoleta mabadiliko ya kweli
- viongozi wa serikali: wote ni wanafiki, wala rushwa, wapenda ukabila, umaarufu, kuenziwa. Kazi yao kubwa ya msingi, kusaidia wananchi, wameiacha pembeni, badili yake wanahangaika na wafanyabiashara pamoja na WAZUNGU 'WAWEKEZAJI'
- VYAMA vya siasa: hawajui nini la kufanya. unachukua nchi ili iweje? muulize jk na wenzake wakwambie kwanini aliamua kugombea urais tangu 2005, ili atufanyie nini watanzania
- wafanyakazi wa serikali: hawa ndo wahanga na wadhalilishwaji wakuu kwa kipindi cha urais wa huyu bwana mkubwa. mnaogopa maandamano kudai haki zenu??? subirini kama zitawafuata mezani. mshahara saivi mnazidiwa na alawansi wanayopewa wanafunzi wa vyuo vikuuu. Jiulizeni, nie mna tatizo gani hadi serikali isiwajali nyie wazalishaji na ipige magoti kwa wanafunzi??
- sisi wananchi na upumbavu wetu: watanzania ni wajinga kupita maelezo. mnakalia ushabiki wa chama huku mnakufa njaa? mnauawa katika ardhi yenu? mnakaa gizani huku madini yanakwenda? mnakufa kwa kukosa dawa za malaria wakati viongozi wanajitwalia mali kwa mikataba na njia mbovumbovu za kifisadi? mnakosa ajira kwa waziri mkuu kusema sie 'wajinga' hatujasoma?gharama za maisha zinapanda wakati wabunge wanahongwa mamilioni ili kupitisha budget? .....
SIMAMA CHUKUA HATUA!
MALAWI WAMECHOKAAAAAAAAAA?
EMT, naomba ni-sum upMkuu hata nikielezea hiyo demokrasia kwa mapana na tukakuta kuwa we have the most democratic society in the world, to remove or change it won't fix the problems. The problem here is not the the type of democracy we have, but the people themselves. I agree with you that "Instead of the Tanzanian masses physically rebelling against the leaders, a rebellion that will leave the masses of Tanzanians dead or hurt, the masses must rebel instead against the lies and ignorance created by the gouvernment which keep the minds of Tanzanians people imprisoned and their mental strength weak." I am not here to advocate violence after all.
I also agree with the most you have said. But would like to add. Most Tanzanians do not want change, even if they say it, no one wants change. If they did, they would go out and do what they needed to in order to acquire the change they want. Most Tanzanians like feeling safe, they don't want to worry about who's going to get them, or what they're going to lose, or what they have to do about it, they would like to stay cozy in safety. Change is a leap into the darkness without a light, and most everyone is afraid of the darkness. However, what most Tanzanians don't realize is that once you're in the darkness, your eyes adjust and you begin with small steps making mistakes at first, and as you continue see better and better making fewer mistakes and actually causing change in others purely by observation.
I agree with you there are those who would talk all day without taking any action. I also agree with you there are some looking for some like-minded people ready for a change. But whether I am one of those minded people, I don't think we will reach anywhere. If we concentrate picking up those who are ready for change, how about those who talk all day? Should they be left out? Of course, we have start somewhere but if we are going to bring a real change, then we gonna have to start with those who talk all day. That's where the problem lies. The Tanzanian society as a whole need to change. If we only take on board those minded who like change and leave out the others, then we might end up to what you tried to avoid in your second paragraph: ".....the Tanzanian masses physically rebelling against the leaders, a rebellion that will leave the masses of Tanzanians dead or hurt...".
Tumeambiwa ni mtu wa "system"tatizo letu sisi watanzania tunafanyiwa vitu vya kipuuzi sana na viongozi wetu na kubaki kulaumu tu bila kuchukua hatua mahususi. Mfano mzuri ni hatua ya serikali kumpa huyu jamaa likizo iliyo na malipo maana yake ni nini sasa kama si kuwadharau watanzania? Yaani mtu ni dhalimu lakini bado kwa kuonyesha kwamba wanabariki alichikifanya wanamwambia "kaka umetufanyia makubwa, tunaomba kidogo upumzike kwa amani na kiasi hiki chukua", hiyo ndio maaana yake! Hii sasa si ni dharau kwa bunge na kwa wananchi? tuamke jamani watanzania
jk sio mawingu y mvua aende akanyeshe mtera.. Hii kauli sitausahau..jibu rahisi kwenye mambo magumu ..
EMT, naomba ni-sum up
Watanzania hatupendi kufanya chochote, tunapenda kufanyiwa so even kwenye hili tunategemea some else to do it, unfortunately this time tupo wenyewe hakuna donor, burushi wala kalasinga... WE HAVE TO DO IT OURSELVES
I HATE CORWARDS AND HYPOCRITES unfortunately (again) as you said, ni sisi wenyewe, tunaongoza kwa unafiki!!
Ndiyo maana mimi naomba usiku na mchana haya matatizo yanayotukabili watz yaongezeka hata mara mia ili kuharakisha ukombozi, siyo kama nafurahia ki hivyo ila ni kutokana na watz wenyewe kuwa wagumu kutambua chanzo cha matatizo yao.Matatizo yetu kwa asilimia 95 yamesababishwa na uongozi mbovu, kwani Mwenyezi Mungu ametujalia kila kitu cha kutufanya watz tuwe matajiri kuliko watu wote duniani, lakini kwa uzuzu wetu tumeendelea kuikumbatia CCM ambayo ni janga la kitaifa.CCM NDIYO WAMEIFUKARISHA NCHI
Mkuu vijana waliomaliza mafunzo ya jeshi huko monduli juzi mwz wa pili huwaambii chochote kuhusu Shimbo na JK, wanawapenda kuliko maelezo, rafiki zangu kabisa nilimaliza nao UDSM na walikuwa wapinzani wakubwa wa serikali ndo walisema maneno hayo baada yakutoka kwenye mafunzo, nahisi kuna kitu wamelishwa, au hulka ya ubinafsi.
Tumeambiwa ni mtu wa "system"
Naomba nipewe kuongoza nchi hii japo kwa mwezi mmoja muone mambo
Hivi mtoto wa Slaa kwa Mama Mushumbushi anaitwa nani?? Na pia mwenye picha yake atuwekee humu pliiz