Mapinduzi yaja Tanzania

Mapinduzi yaja Tanzania

Tanzania after 50 years of Independence has miserably failed to promote sound socio-economic policies and reforms for its people, the issue of seeking a stable electricity source is still heavily politicized and seems like a far-fetched or unrealistic phenomena,corruption is rampant, people still live under meager conditions while our natural resources and land rights are being awarded to foreign firms, while all along our so-called leaders remain incompetent, arrogant and self-loathing...Watanzania tumechokaaaaaaaaaaa!!!! In the spirit of civic unity and for the love of our country, its time to tell Kikwete and his CCM party to pack up and GO to make room for REAL reformists!Its time for REAL change, Its time for the people to STAND UP against this non-visionary party!!!

Follow the movement....

Tanzania Revolution - CCM MUST GO! Enough is Enough - Wall | Facebook
 
nasubiri kwa hamu hiyo siku!! magamba.jpg
 
Mwalimu Nyerere's thoughts on traitors.
Those who receive this privilege therefore, have a duty to repay the sacrifice which others have made. They are like the man who has been given all the food available in a starving village in order that he might have strength to bring supplies back from a distant place. If he takes this food and does not bring help to his brothers, he is a traitor. Similarly, if any of the young men and women who are given an education by the people of this republic adopt attitudes of superiority, or fail to use their knowledge to help the development of this country, then they are betraying our union. Mwalimu Nyerere

I wanted to paste that quote by the father of this nation. I have read and reread what he says. Today, it breaks my heart to see the country that used to be my childhood home in the state it is in at. The lovely country has turned into a "gangsters casino".


 
nawapongeza watanzania kwa uvumilivu wetu katika tabu na matatizo yasoikwisha!Nawaaminia sana ninyi ni makomandoo wa shida.....nguvu ya mabadiliko yenu ni ndoto kwani hamjui nini mnastahili au hamstahili...si afya ,si elimu,si uchumi...
 
Toka JK achukue nchi mambo yamekuwa yanenda hovyo kuliko maelezo..at first niliboreka sana, lkn muda ulivozidi kwenda nikagundua kuwa he was the right choice and am very happy na nazidi kuomba maisha yaendelee kuwa magumu zaidi.

Nasema hivo kwa sababu jinsi anavozidi kuvurunda ndo jinsi wapinzani wanapata point na wananchi wanazidi kukosa uvumilivu naye...hata wale waliomuona ndo mkombozi wao. In the end ni anguko ni la CCM na nchi kukombolewa kutoka mikononi mwa wala rushwa, viongozi wazembe na wasiojali maslahi ya wananchi. Ujio wa JK ndo mwisho wa CCM... jamani tumfurahie karibu anatupeleka nchi ya ahadi soon kwa kuimaliza CCM yake!!!
 
mkuu hii title niaje Tuzidi kururahi JK na CCM wanapochemsha..
 
Wapinzani wenyewe wa kuitoa CCM madarakani wako wapi?
 
Wapinzani wenyewe wa kuitoa CCM madarakani wako wapi?
Mkuu CCM haijaingia madarakani hata kwa nusu ya ridhaa ya watanzania wote wenye uwezo wa kuchagua viongozi wao. Kwa muktadha huo kama UMMA ukichoshwa na ukiamua kuitoa CCM Madarakani, hakuna wa kuzuia (hata Mubarak na serikali yake haikung'olewa na wapinzani bali UMMA)
 
Wapinzani wenyewe wa kuitoa CCM madarakani wako wapi?

ww unayeangalia na miwani ya giza (kama asemavyo rais wenu) ndo huwaoni..kamulize mramba, dialo, masha...just to name the few .wanawajua!
 
Sababu ya mapinduzi ipo, uwezo tunao, je nia ipoooo?
  1. sisi wananchi na upumbavu wetu: watanzania ni wajinga kupita maelezo. mnakalia ushabiki wa chama huku mnakufa njaa? mnauawa katika ardhi yenu? mnakaa gizani huku madini yanakwenda? mnakufa kwa kukosa dawa za malaria wakati viongozi wanajitwalia mali kwa mikataba na njia mbovumbovu za kifisadi? mnakosa ajira kwa waziri mkuu kusema sie 'wajinga' hatujasoma?gharama za maisha zinapanda wakati wabunge wanahongwa mamilioni ili kupitisha budget? .....
INAKERA
SIMAMA CHUKUA HATUA!
MALAWI WAMECHOKAAAAAAAAAA?

.....inawezekana kweli sisi watanzania tumerogwa kwani, matatizo yetu ni makubwa zaidi ya-wamalawi.
 
Mkuu CCM haijaingia madarakani hata kwa nusu ya ridhaa ya watanzania wote wenye uwezo wa kuchagua viongozi wao. Kwa muktadha huo kama UMMA ukichoshwa na ukiamua kuitoa CCM Madarakani, hakuna wa kuzuia (hata Mubarak na serikali yake haikung'olewa na wapinzani bali UMMA)
Hata huo UMMA wenyewe ambao una uthubutu wa kuingia barabarani na kudai kuitoa serikali uko wapi. Watanzania ni hodari sana wa kutoa maoni na kashfa kwenye FB, JF, na magazetini lakini hakuna mwenye guts na kutoka waziwazi. Labda wanachuo na kudai meals allowance.
 
Wataendelea kuchemsha, ila 2015 pilau na t-shirt zitawarudisha madarakani! Zaidi ya 70% ya Watanzania husikiliza hoja kwa matumbo yao!!
 
I am afraid to say that Kikwete can not think.....itatugharimu sana kwenye historia yetu huyu bwana kuwa Ikulu.
Haishangazi wakenya kusema ni ' lazy, foreign-trip-loving president who is soft on corruption always always out to sprucing his image'
 
jk nakupa ushauri wa bureeee....yuko wapi mtabiri wako aliyekuwa anawatabiria wenzake kifo..? Ushauri wa bure usisubiri yatokee yanayotokea kwenye nchi jirani kama kweli unaipenda tanzania, wacha kuwa kama kikundi cha alshababi wa somalia watu wamechoka na tabasamu lako, dharau, kejeli na unafiki wa ccm...chonde chode kumbuka hukuzaliwa ili ufe ukiwa kiongozi siku moja yatakukuta yanayo wakuta wenzako...usidhani watu wanafurahia shida na dhihaka wanazopata kwenye nchi yao kama wakimbizi langu jicho baba wewe si ndio kila kitu sheria, wewe mkuu wa kaya wewe mahakam wewe polisi wewe jeshi wewe magereza wewe ila siku moja ukijikuta huna hata uenyekiti wa nyumba kumi ndio utajua dunia.

Hakuna amani bila haki kwa wote
 
Back
Top Bottom