Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,070
- 3,705
Simba SC tunaomba robo final na Yanga Mapinduzi Cup.
Tutawadhihirishia zile tano za Yanga sio za halali bali imetokana na mambo mawil.
1. Waliwaonga baadhi ya wachezaji wa Simba SC kwa pesa ndio maana wangine wamewekwa benchi mpaka sasa na wangine tunawatafunia mbinu tuwatimue.
2. Yanga ni wachawi kwasababu ya udhaifu wao, kitu kidhaifu huwa kinakuwa kichawi. Hivyo hizo tano ni za hujuma na za mganga sio za yanga.
NB: SIMBA NI TIMU KUBWA NA BORA NA NAMBA 1 TANZANIA, AFRIKA MASHARIKI NA KATI.
Kufungwa na timu ndogo bao tano inatokea kwa timu ndogo kuiotea timu kubwa ila kwa hii Yanga inasababu hizo hapo juu.
Tupangiwe chap hawa watu.
Tutawadhihirishia zile tano za Yanga sio za halali bali imetokana na mambo mawil.
1. Waliwaonga baadhi ya wachezaji wa Simba SC kwa pesa ndio maana wangine wamewekwa benchi mpaka sasa na wangine tunawatafunia mbinu tuwatimue.
2. Yanga ni wachawi kwasababu ya udhaifu wao, kitu kidhaifu huwa kinakuwa kichawi. Hivyo hizo tano ni za hujuma na za mganga sio za yanga.
NB: SIMBA NI TIMU KUBWA NA BORA NA NAMBA 1 TANZANIA, AFRIKA MASHARIKI NA KATI.
Kufungwa na timu ndogo bao tano inatokea kwa timu ndogo kuiotea timu kubwa ila kwa hii Yanga inasababu hizo hapo juu.
Tupangiwe chap hawa watu.