Mapinduzi anaasisi historia ya Tanzania. Haya mashindano yasiwe kama Fiesta ndoo, maana ni chini ya ndo ndo Cup.
Clip kubwa Tz zinaalikwa badala yake zinaleta U-16. Tunajidhalilisha.
Viongozi hili kombe lipeni heshima atakaye shinda apate nafasi kuingia mashindano ya CAF ..fano aingie kombe la washindi.Yanga na Simba mnapewa hadhi badala yake mnadhihaki.
Je bila Karume Makao yeñu msimbazi na Jangwani yangekuwepo? Tafakari
Clip kubwa Tz zinaalikwa badala yake zinaleta U-16. Tunajidhalilisha.
Viongozi hili kombe lipeni heshima atakaye shinda apate nafasi kuingia mashindano ya CAF ..fano aingie kombe la washindi.Yanga na Simba mnapewa hadhi badala yake mnadhihaki.
Je bila Karume Makao yeñu msimbazi na Jangwani yangekuwepo? Tafakari