Mapigano ya kugombea ardhi yaua Tegeta

hapana lawama ianzie kwa system nzima ya uongozi wa serikali yetu imetugawa kimakundi wenye nacho na wasio nacho na inawakumbatia wenye nacho ndio maana wasio nacho wanachukua sheria mkononi migogoro ya ardhi haijaanzia jana tegeta ni ya kihistoria kwann wanashindwa kuitatua?kila mtu akapata haki yake?
LAWAMA SI ZA JESHI LA POLISI..... wahusika walioanza kupigana ndo lawama ziwaendee
 
Hao Polisi waliopewa taarifa wakasema "Ngoja wauane wote kwanza..." wawekwe ndani na kufunguliwa mashitaka, Pia mabosi wao (Kova, Mwema, Nahodha) nao wawajibishwe kutokana na uzembe huu!
 
LAWAMA SI ZA JESHI LA POLISI..... wahusika walioanza kupigana ndo lawama ziwaendee
lawama ziende kwa anayedai kumiliki eneo kutotumia mihimili husika kufikia muafaka.
Think of wabomoe nyumba yenu from no where, no details/no maelezo kabla
Ningekuwa karibu na eneo ningechochea fujo ile mbaya na ningemwagia mtu petrol na kumchomea mbali.
 
jamani hii ni tanzania au imekuwa rwanda sasa? jmani serikali ipo kweli na inayaona haya?

mambo haya yanapotokea, wanasiasa wasiendelee na kauli zao za 'tanzania nchi ya amani'. wanayodhani hayawezi kutokea tanzania yanawezekana kabisa, as long as wenye njaa wanaonewa na kunyanyaswa. ipo siku wanasema basi!!!

R.I.P.
 
Mmmm,hayo ndiyo matatizo ya kutokuwepo kwa utekelezaji wa sheria,hivyo kila mtu anatumia nguvu alizo nazo,watu wamekufa what for hawawezi rudi so,utandeji mbovu hili si la jana wa juzi
 
twende mbele turudi nyuma haya ni mazao ya uozo uliokithiri huko wizara ya ardhi. Rushwa na kutofuata taratibu ndio order of the day hapo wizarani. Tanzania tunaelekea kubaya, ubaya wa rushwa huo sasa unajidhihirisha!!
 
mambo haya yanapotokea, wanasiasa wasiendelee na kauli zao za 'tanzania nchi ya amani'. wanayodhani hayawezi kutokea tanzania yanawezekana kabisa, as long as wenye njaa wanaonewa na kunyanyaswa. ipo siku wanasema basi!!!

R.I.P.
u hv spoken ma mind.i swear pamoja na kuwa mwanamke lakini ningekuwepo ningemchoma mtu moto.Ningetoa petrol kwenye gari haraka haraka ningemlipua mtu.Hii nchi habari za majadiliano zimefeli kilichobaki mabavu tu.
 
kwani kazi kubwa ya wizara ya ardhi ni nini?
 

I wish ningeelewa vizuri hili tukio.....
 
u hv spoken ma mind.i swear pamoja na kuwa mwanamke lakini ningekuwepo ningemchoma mtu moto.Ningetoa petrol kwenye gari haraka haraka ningemlipua mtu.Hii nchi habari za majadiliano zimefeli kilichobaki mabavu tu.

hapo kwenye red&bold:

baby unachanganya mada. hakuna ushahidi wowote kuwa wewe ni 'ke'
 
hayo ndio matokeo ya dhuruma wananchi wameshachoshwa kwakuwa serikali yao haiwajali na kuwatetea sasa wameamua kujitetea wenyewe...:rip:CCM.
 
LAWAMA SI ZA JESHI LA POLISI..... wahusika walioanza kupigana ndo lawama ziwaendee

Kazi ya Polisi ni nini?.....mimi najua CROWN katika kofia zao ina slogan hii USALAMA WA RAIA.....Watoto wako wakipigana wakaumizana na wewe ukiwepo utasema lawama sio yako?:disapointed:
 
Inasikitisha sana sana! Hata kama huyo anayedai kuwa hiyo ni ardhi yake na imevamiwa na wananchi, hakutakiwa kuidai kwa njia hiyo ya kuwavunjia wananchi nyumba zao! Kitendo cha kuvunja nyumba kiliamsha hasira kwa wakazi na kuona liwalo na liwe!

Hasira yangu ni kwa jeshi la polisi. Wanajibu kuwa "waache wauane akibaki mmoja atakuja kutoa taarifa". Fikiria ingekuwa ni wanafunzi wamegoma au wanaandamana kuelekea ofisi ya mkubwa fulani, vifaa vyote vya kutuliza ghasia vingetolewa ghalani!
 

Kwa hiyo wewe ulitaka wananchi wakae tu wakichekelea kuona nyumba zao zikibomolewa huku kesi ikiwa bado iko mahakamani? Jaribu kufikiria kama nyumba uliyoijenga kwa kudunduliza kwa zaidi ya miaka 30, tena pengine baada ya kupata kiinua mgongo cha kustaafu inabomolewa kirahisi namna ile. Ingekuwa wewe ungefanyaje?
 
Jamani Ndg Zangu Watanzania wapendwa, tumeisha sema mara nyingi ili kuondoa migogoro yote ya umiliki wa aridhi lazima tuwe na katiba mpya. Huwezi kusema aridhi ni mali ya taifa ili inufaishe mafisadi wawadhurumu watu walioishi kwenye hiyo aridhi tangu enzi za mababu!!!!!!!!! Katiba italitazama swala la aridhi ili liwe na msingi mzuri wa kunufaisha waliopo kwenye eneo lao!!!!!!! Aridhi ni mali ya taifa watu wamezikwa wazima wazima Nyarugusu, Tundu Lisu na wanaharakati wengine wamefatilia saana swala hili, na haki bado kupatikana shauri ya katiba legelege. TUNAHITAJI KATIBA MPYA ILI TUWEZE KUONDOA MIGOGORO YA ARIDHI ILIYOPO TAIFA LISIINGIE KWENYE UANGAMIVU!!!!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…