MENDE JEURI
Senior Member
- Apr 6, 2011
- 198
- 29
mbona story yenyewe ya kuungaunga?
muwe mnaweka story kamili kama mnaamua kuanzisha thread, msipende kuacha watu wakiguess. si wote wanakuwa wanajua kinachoendelea kwenye akili zenu. asante
Hali ni mbaya sana maiti zimetapakaa mashambani kama zile za Genocide kule Rwanda. Wengine wamevunjwa viungo wame lala tu wanasubiri kufa. Huwezi amini kama ni Tanzania tena Dar es salaam karibu na makao makuu ya vyombo vyote vya usalama. Tajiri mmoja amesababisha roho za watu kupotea. JAMNI WATANZANIA.
Zaidi ya watu 5 wamekufa ktk mapigano ya kugombea ardhi kati ya wananchi na mabaunsa wa kampuni ya udalali ya Mwangata huko Mivumoni Tegeta. RADIO1 STEREO
very sad indeed.
guys suffering from unemployment get involved into bloodshed confrontations for such kind of wages (Tshs. 50 000).