Mapepo matano yanayoitesa dunia

Asante kaka,jibu limeniridhisha
 
Last edited by a moderator:
Binafsi pepo namba 2 linanihusu, yaliyobaki hayanisumbui sana, kama pepo namba 4&5 ndo sina kabisa.
 
Kaka Mshana, kutenda hayo kwa sasa ndo unaonekana mjanja... ajabu sana.
kama kweli ukitaka kubadilika unabadilika.
 
Pepo Allah. Hili limejumuisha yote. Mauaji. Ufuska. Ujinga. Uzinzi. Visasi na uongo
 
1.Chuki/Majungu/Fitina/Kutopenda mwenzio afanikiwe.
2.Uongo
3.Ngono
4.Pombe &Madawa
5.Wizi
6.Kisasi na malipizi
 
namba moja, mbili na tatu vinanihusu, hiyo namba moja ndo hasaaa, natisha na hilo pepo, tatizo hilo pepo namba moja hata mitume wetu waliliabudu kupita kiasi seuse sisi vijampakilatule???
 
namba moja, mbili na tatu vinanihusu, hiyo namba moja ndo hasaaa, natisha na hilo pepo, tatizo hilo pepo namba moja hata mitume wetu waliliabudu kupita kiasi seuse sisi vijampakilatule???

Hahahahaaaa osie waahemba iwe
 
Kaka MSHANA, 1Yoh 3:8,atendaye dhambi ni wa abilisi,kwa kuwa ibilisi hutenda dhambi tangu mwanzo kwa kusudi hil mwana wa Mungu alidhihirishwa ili azivunje kazi za shetani.

Dhambi ni uasi na shetani aliasi, kwa hiyo kazi lake kubwa kutushawishi tuasi twende Motoni pamoja naye,kaa ndani ya Yes na umuombe akushindie peke yako huwezi.
Nimeona watu wengi wasomi wanajaribu kuproove mambo ya roho na elimu,saikoloji,hekima zao nk,huwezi Mungu utamjua kwa neno lake tu, Zab 25:14 "siri ya BWANA iko kwao wamchao. Nate atawajulisha agano lake"
Ukifungua mlango wako roho za ibilisi ikakuingia lazima utatenda dhambi kwani mapepo yanasubiri yafanye kazi yaliyotumwa na baba yao Lucifer
 
Kaka MSHANA, 1Yoh 3:8,atendaye dhambi ni wa abilisi,kwa kuwa ibilisi kwa kuwa ibilisi hutenda dhambi tangu mwanzo kwa kusudi chili mwana wa Mungu alidhihirishwa ili azivunje kazi za shetani.
Dhambi ni uasi na shetani aliasi, kwa hiyo kazi take kubwa kutushawishi tuasi twende Moroni pamoja naye,kaa ndani ya Yes na umuombe akushindie peke yako huwezi.
Nimeona watu wengi wasomi wanajaribu kuproove mambo ya roho na elimu,saikoloji,hekima zao nk,huwezi Mungu utamjua kwa neno lake tu, Zab 25:14 "siri ya BWANA iko kwao wamchao. Nate atawajulisha agano lake"
Ukifungua mlango wako roho za ibilisi ikakuingia lazima utatenda dhambi kwani mapepo yanasubiri yafanye kazi yaliyotumwa na baba yao Lucifer
 
sawa bro halafu fanya kuirudisha ile thread yetu mi upweke nimechoka kesha peke yangu....

Karibia kidooogo tuu Niku pm mpweke na mkeshaji mwenzangu,sijui kwa mini moyo ukanidunda eti nikaogopa
 

Asante kwa neno zuri na la hekima! BARIKIWA
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…