Thad
JF-Expert Member
- Mar 14, 2017
- 13,402
- 31,652
Naona sasa mapenzi yameanza kusingiziwa vitu vya uongo kama anavyosingiziwa(ga) shetani.
Unakuta mtu kaachwa (hiki ndio kinachomuumiza) ila utakuta anasingizia mapenzi ndio yamemuumiza.



Naona sasa mapenzi yameanza kusingiziwa vitu vya uongo kama anavyosingiziwa(ga) shetani.
Unakuta mtu kaachwa (hiki ndio kinachomuumiza) ila utakuta anasingizia mapenzi ndio yamemuumiza.


