Mapenzi yanaumiza...

Mapenzi yanaumiza...

Wakati mwingine labda mnachanganya hayo mnayoyaita mapenzi na magonjwa ya akili, wengine ni wagonjwa ila hamjajijua mnafikiri ni mapenzi, ...
 
Pesa hainunui msamaha, Wala haitengenezi thamani ya moyo ila inatengeneza thamani ya mwili,

ndiyo maana unaweza sema unapendwa kumbe siyo,Bali unatimiza mahitaji ya mtu.

Kama hakuwa na nyumba atajenga.
Kwa sababu unazo
 
Ahsante mkuu,waweza kuwa navyo vyote ila ukashindwa kuzitambua kanuni
Mkuu, usitafute kutambua kanuni , we tenda kama ni vitu vya kawaida tu ( routine). Nakuhakikishia atakua anakuona wewe ni dhahabu safi kupita zote duniani; Hawanaga kanuni hao...
 
Mkuu, usitafute kutambua kanuni , we tenda kama ni vitu vya kawaida tu ( routine). Nakuhakikishia atakua anakuona wewe ni dhahabu safi kupita zote duniani; Hawanaga kanuni hao...
Nimekupata mkuu
 
Wanaadam mna hatari sana nyie

Mmetoka kumsingizia Shetani nw mnamsingizia tena Mapenzi jamani mbona hivyo
 
Wakati mwingine labda mnachanganya hayo mnayoyaita mapenzi na magonjwa ya akili, wengine ni wagonjwa ila hamjajijua mnafikiri ni mapenzi, ...
Ha ha haaa
mchango wako na uheshimiwe
 
Ukitaka mwanamke akung'ang'anie na kukupenda kwa dhati;
1. Mpe surprise za upendo kadri muda unavyokuruhusu.
2. Usimsimange/ usiwe na gubu kwake.
3. Mwambie ukweli pale unaposhindwa kumtimizia kile anachoomba.
4. Muombe msamaha haraka pale utakapokua umemkosea.

Mbali ya hapo ndio huja hizo kauli za " mapenzi huumiza ".
Mimi haya sikubaliani nayo
 
Nasemaje upendo hauna kanuni ni vile unajiskia moyoni umtendee nini mwingine iwe ni kielelezo cha kumpenda but mwitikio wake unatofautiana kulingana na mtu na mtu, mwingine atarespond positive kwa namna unavyomuonesha upendo wako kwake lakin pia mwingine akaonesha respond ya tofaut kabisa japo ulihisi ulichokifanya kililenga kwenye upendo na wala si kingine

Hisia za mtu kumpenda mwingine na ziheshimiwe, maana upendo ili uongezeke inategemea pia na anayependwa anamuitikio gani,binafsi sionesh kujali sana kwa anaenichukulia poa jinsi ninavyowekeza upendo kwake
 
Kuna ka stage ukifika hautaona mapenzi yanaumiza, utakuwa unajionea sawa tu katika jambo lolote.
Kitu pekee kitakachokuwa kinakuumiza kinaweza kikawa ni njaa tu na magonjwa mbalimbali
 
Kuna ka stage ukifika hautaona mapenzi yanaumiza, utakuwa unajionea sawa tu katika jambo lolote.
Kitu pekee kitakachokuwa kinakuumiza kinaweza kikawa ni njaa tu na magonjwa mbalimbali
Lkn kwanza upitie mapenzi. But km hkuwahi kuyajua maumivu yake ni mara 10
 
Ukitaka mwanamke akung'ang'anie na kukupenda kwa dhati;
1. Mpe surprise za upendo kadri muda unavyokuruhusu.
2. Usimsimange/ usiwe na gubu kwake.
3. Mwambie ukweli pale unaposhindwa kumtimizia kile anachoomba.
4. Muombe msamaha haraka pale utakapokua umemkosea.

Mbali ya hapo ndio huja hizo kauli za " mapenzi huumiza ".
Heee!!! Kweli bado mutoto hayo ni kwa mzungu lkn mbantu?
Siku akiondoka harudi ng'oo! Anaamini unampenda utamfuata tu.
Girls weusi usiwajali sana weka ushindani ajue any time kuna mtu km yeye tena mzuri anataka nafasi hiyo. Hapo atakuheshim na kulinda penzi asipokonywe na wabaya wake hata kwa dawa
 
Cha muhimu ukiwa na mpenzi jifunze vitu vinavyompa furaha na ujitahidi kuvifanya Mara Kwa Mara na hapa namaanisha pande zote mpili
Nasemaje upendo hauna kanuni ni vile unajiskia moyoni umtendee nini mwingine iwe ni kielelezo cha kumpenda but mwitikio wake unatofautiana kulingana na mtu na mtu, mwingine atarespond positive kwa namna unavyomuonesha upendo wako kwake lakin pia mwingine akaonesha respond ya tofaut kabisa japo ulihisi ulichokifanya kililenga kwenye upendo na wala si kingine

Hisia za mtu kumpenda mwingine na ziheshimiwe, maana upendo ili uongezeke inategemea pia na anayependwa anamuitikio gani,binafsi sionesh kujali sana kwa anaenichukulia poa jinsi ninavyowekeza upendo kwake
 
Ngono is overrated!

Hata wadudu hufanya ngono, nothing spesho.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom