baharia 1
JF-Expert Member
- Sep 13, 2019
- 1,255
- 1,268
Mapenzi ni kitu kizuri lakini yanaumiza sana
Betrayed
Kuna wakati unapenda lakini bahati mbaya unayempenda hayupo tayari kwa upendo wala kuelewa hisia zako, inaumiza sana.
Mbaya zaidi una cheatiwa na watu wa karibu inauma. Nimependa lakini naumia sana. Natamani itokee siku mpenzi wangu abadilike na kuelewa maana ya upendo japo alipe penzi letu thamani walau kidogo.
Mwenyezi Mungu naomba nizidishie uvumilivu
Betrayed
Kuna wakati unapenda lakini bahati mbaya unayempenda hayupo tayari kwa upendo wala kuelewa hisia zako, inaumiza sana.
Mbaya zaidi una cheatiwa na watu wa karibu inauma. Nimependa lakini naumia sana. Natamani itokee siku mpenzi wangu abadilike na kuelewa maana ya upendo japo alipe penzi letu thamani walau kidogo.
Mwenyezi Mungu naomba nizidishie uvumilivu