Mapenzi yanauma sana

Mapenzi yanauma sana

Sijawahi kubahatika kuona mwanaume nwenye pesa awe na mwanamke mmoja.

Apo kuna options mbili,

Upate fukara mtaishi ila akipata ela ataongeza dem.

Ubakie singo.

Narudia hakuna mwanaume mwenye mwanamke mmoja.
 
mkuu njoo kwangu nipende mmi hautajutia


sifa zangu ni kama ifuatavyo

umesema hupend wenye pesa................basi mimi ni maskin wa kutupwa
..ni handsome
..mrefu
...mtanashati
elimu yangu ni std 7


njoo kwangu ndiko kwenye pumziko la moyo .......utanishukuru baadaye






,,
 
umri wako - 23 umekuwa na mahusiano miaka 5!
maana yake ulianza kuchana Msamba ukiwa mdogo sana then unataka mwanaume aliye tulia !!
alianza kuuchana msamba vilivyo muda sana,
 
Ninamaana itakuwa na uhakika wa kazi na kipato cha kuendesha familia
Kwa maana hiyo ukishampata mwenye sifa hzo ,uko tayari kabisa kwa moyo mmoja kuwa naye na hautamzingua kwa kumcheat na vitu vifananavyo na hvyo?

Km jibu ni yes

Njoo Pm
 
Unachokosea ni kuingia kwenye mahusiano haraka baada ya kuachwa,uahitaji kujipa mapumziko la sivyo itakugharimu, haina haja ya kupanic maana we bado ni mdogo
Pia unahitaji kukaa chini na kutafakari makosa uloyafanya na ubadilike,wakati unahangaika kumtengeneza mwanaume et mnatafta mali zako ungekuwa umenunua hata kiwanja usingekuwa unalia .
Kitu kingine acha kujipa majukumu ya mke,
Sasa asipo jipa majukumu ya mke huoni km ndo inaweza wakimbiza wanaume coz atakua anaishi kwa taadhari ya hajiachii ...na wanaume tulivo makini linapokuja swala la kuoa ....tukiona tuu mwanamke hafanyi responsibilities zake bhac tunaweza badili gear angani

Kikubwa n Kumtanguliza Mungu na mwisho wa yote ,mapenzi ni km kubet hakuna aliyekwenye mahusiano ambaye anajipa uhakika 100% ...
 
Sasa asipo jipa majukumu ya mke huoni km ndo inaweza wakimbiza wanaume coz atakua anaishi kwa taadhari ya hajiachii ...na wanaume tulivo makini linapokuja swala la kuoa ....tukiona tuu mwanamke hafanyi responsibilities zake bhac tunaweza badili gear angani

Kikubwa n Kumtanguliza Mungu na mwisho wa yote ,mapenzi ni km kubet hakuna aliyekwenye mahusiano ambaye anajipa uhakika 100% ...
Kweli mkuu
 
Alafu unaanzaje kutengeneza maisha na mtu ambaye hajakuoa, hilo ni kosa kisheria, anapaswa ashitakiwe afungwe
Sasa mkuu ,km watu wanatakiwa wasubiri wakishafunga ndoa ndo waanze maisha huon kwenye mahusiano watu watakua wanaishi kwa taadhari sana coz anakua hana uhakika ....na madhara ya kuishi mguu mmoja ndani ,mguu mmoja nje ...n makubwa kwakua kila mtu anakua kimkakati yan ukizingua tayar anapakujishika ..sasa hayo sio mahusiano ni ujanja ujanja
 
Sasa mkuu ,km watu wanatakiwa wasubiri wakishafunga ndoa ndo waanze maisha huon kwenye mahusiano watu watakua wanaishi kwa taadhari sana coz anakua hana uhakika ....na madhara ya kuishi mguu mmoja ndani ,mguu mmoja nje ...n makubwa kwakua kila mtu anakua kimkakati yan ukizingua tayar anapakujishika ..sasa hayo sio mahusiano ni ujanja ujanja
Kwakweli
 
Siku moja utakuja kuwa na Ndoa yako yenye furaha na amani nyingi na utakuwa na mume anayekuheshimu na utapata watoto wazuri sana... Shida unazopitia ni kwa sababu unasali na kumuomba Mungu hivyo hataki uingie kwenye matatizo.

Mungu ndiye ajuaye ya mbele, ungeolewa na huyo mwanaume pengine kungekuwa na hatari sana mbele... Keep the faith and trust in God.. His timing is magnificent...
 
Miaka 23 unakua desperate na ndoa? Aaagh wapi, achana na hizo mambo, sikiliza wimbo was Whitney Houston "Greatest Love of all is Learning to your self"
Me naona yuko sahihi kuwa hvo coz akichukulia pouwa et umri bado ..matokeo yake atachezewa sana so lazima awaze namna ya kupata mtu sahihi na kwa wakat ...
 
Tatizo ni kuwa unayatafuta mapenzi na ndoa hii itakutesa snaa na usipokuwa makini utajikuta ndani ya mikono ya wanaume wengi manaa Sisi wanaume kukupa ahadi ya ndoa hatuogopi endeleza harakati zako za maisha mapenzi ya kweli na ndoa utayakuta katikati ya safari iyoo
 
Mwanamke wana shida hasa midomo.. Pia wanapenda sana kuaminiwa wakati wanaume hatuwaelewi hivyo! Anyways unaweza kujibainisha kasoro zako kitabia!?
 
Back
Top Bottom