Johnny Impact
JF-Expert Member
- Sep 12, 2017
- 5,543
- 9,166
Tatizo lako lipo hapa. Sisi wanaume tunapenda kuheshimiwa na kuelekezwa kwa ustaarabu.
Umenikuta sina hela ila unanipenda sana ila tunavyokuwa unaongelea habari za wanaume wenye hela. Nitakuvumilia kwakuwa sina pesa, ila nikishapata lazima nikuache sabababu
1. Unatafuta mwanaume mwenye kujua pesa na siyo mume.
Sisi wanaume tunapenda kuishi na mwanamke ambaye atatuvumilia hata ukiwa na mia mbovu. Inaonekana jamaa hakupenda kwasababu
a) Ulikuwa unampangia vitu vya kununua. Ukimkuta amenunua hata simu ya laki 2 una kasirika, kwann hiyo pesa asiweke kwenye mzunguko wa biashara.
b) Zamani ulikuwa unamchukulia hajui kutafuta pesa ndiyo maana umesema wewe ndiyo km ulikuwa una mshauri.
Umenikuta sina hela ila unanipenda sana ila tunavyokuwa unaongelea habari za wanaume wenye hela. Nitakuvumilia kwakuwa sina pesa, ila nikishapata lazima nikuache sabababu
1. Unatafuta mwanaume mwenye kujua pesa na siyo mume.
Sisi wanaume tunapenda kuishi na mwanamke ambaye atatuvumilia hata ukiwa na mia mbovu. Inaonekana jamaa hakupenda kwasababu
a) Ulikuwa unampangia vitu vya kununua. Ukimkuta amenunua hata simu ya laki 2 una kasirika, kwann hiyo pesa asiweke kwenye mzunguko wa biashara.
b) Zamani ulikuwa unamchukulia hajui kutafuta pesa ndiyo maana umesema wewe ndiyo km ulikuwa una mshauri.
Anayejua kutafuta pesa.


