Madam Mwajuma
JF-Expert Member
- Sep 13, 2014
- 7,076
- 6,774
Sasa na wewe kama unataka kujua tunafanyaje si uje tu kule chobis ili uthibitishe mwenyewe?.teh teh sijui mlilifanyaje hilo tendo angali bado hamjaonana hiyo itakuwa miujiza mkuu
Haya sasa unasemaje?,vipi ulionaje ile asali asili ulivyoilamba?Kwan na comment vibaya
chobis??ndio wap hukoSasa na wewe kama unataka kujua tunafanyaje si uje tu kule chobis ili uthibitishe mwenyewe?.
Chobis ni kule PM,wewe njoo nikupakue uonje asali,halafu itakuwa siri yetu.chobis??ndio wap huko
huko hakunifai and may be ufanye utaratibu wa kujipakuwa mwenyeweChobis ni kule PM,wewe njoo nikupakue uonje asali,halafu itakuwa siri yetu.
pole mpendwa...wanaume ndivyo walivyo...ipo siku yao mioyo yao itumizwa tuuu...atakukumbuka uko wapi hata umliwaze wakati huo atakuwa ameshachelewa..muda huo utkuwa umepata chaguo sahihi...nasema ipo siku tuuuu wanaume wataumizwa mioyo yao...kama wanavyotuumiza sisi...nasema ipo siku tuuu wanaume wataumizwa mioyo yao waangalie mbingu iwe ardhi hakuna wakuwafariji....
hilo jina tu litamkimbiza.hebu nitafte nifute machozi yako ili upate kuwa na furaha tena
Kujipakua mwenyewe haiwezekani mamii,sababu wewe ndio una nyenzo umeificha huko chini,sasa jaribu kutoa sadaka hapa,vile vile hata ukitaka nitachangia pesa ya sabuni.huko hakunifai and may be ufanye utaratibu wa kujipakuwa mwenyewe
unaonekana kuwa na nyota ya u-single mama!!!Yaaan uzi kama huu nikiuona natamani nitoe somo lakini mda wa kuandika siupati. Natamani niongee rala akaandike!
Hivi dada una umri gani kutojua hawa wanaume? Kwanza ukipata mtu from now vaa ngozi ya kondoo tumia vizuri miezi miwili ya kwanza kiasi kwamba likiondoka huna hasara! Jutu unalionesha kulipenda kuliko hata mama yako? Vaa ngozi ya kondoo fanya mambo yako likiondoka lipe na nauri ya kulisafirisha.
pole,ni jambo la kawaida katika mapenzi,
misery life!!! wht about u'r health status currently ???Yaani kuna siku nilisha wahi kuachwa na demu nili data hadi nikamtafuta mwanasaikologia akanipa msaada japo msaada wake kwa kiasi flani ulinisaidia now na miaka 7 sijawah kuwa na mahusiano na mwanamke nikiwa na shida naenda ilala naende kuchukua mzingo wa buku mbili jero natulinza mtima wangu!