well said. ukiachwa jitathmin umeachwaje na ilikuwaje na kama tatizo ni wewe jirekebishe.Naona hekma yako ni ndogo dada,usioneshe hasira jinsi hii,matatizo huwa yapo pande zote,hata kwetu wanaume tunakutwa na changamoto kama hizi!Mshauri ajiangalie tu na ajipime!
Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
umesema ila hujamaliza, never trust a human being rather trust God.Pole sanaaaa,Never trust man!
Yaan nimeachwa kwenye mataa mapenzi yanauma jamani yaani nimekaa na huyu mwanaume kwa miaka mitano nimekataa wanaume kibao ambao alikua wanani-approach wakiwa na nia njema nahisi nimechanganyikiwa sielewi wapi pakuanzia.
Nimelia hadi sauti imekauka i regret the day i said yes to him. Wanaume shikamooni sikuwai kudhani kuwa alikua na mahusiano nje, kha nimepata life time lesson wanawake wa humu muwe macho hapa nawaza ningekua nimemzalia daaah ningekua na hali gani nahisi ningechizi.
Hebu wanajammii nishaurini ntamsahauje huyu maana naona kama siwez siku ya nne leo am not myself. Yaan kadiriki kumpa simu mwanamke wake mpya waniambie kuhusu uhusiano wao mapenzi yauma jamani najiuliza nina tatizo gani jaman jaman nitamsahauje huyu.........
Me sipendi sharo by the way kila mtu ana maono yake bahat nbaya nachoelewa ndoa hupangwa kwa Allah hata hao hua n waoaji n basi tu hajapata mlengwa wakeeeeeeh pole bhas si mnapenda masharo baro ee sio waoaji hao unajuaa
haya madamMe sipendi sharo by the way kila mtu ana maono yake bahat nbaya nachoelewa ndoa hupangwa kwa Allah hata hao hua n waoaji n basi tu hajapata mlengwa wake
Hayaaa karibuhaya madam
Pole sana tatizo lenu wanawake ni wepesi kusahau! Umechelewa kujua kuwa si kila uhusiano lazima hudumu mi lele! Kwenye kila kinacho tokea kwenye maisha yako unatakiwa kujua huwa kuna sababu mbili inaweza kuwa ni baraka au funzo!Yaan nimeachwa kwenye mataa mapenzi yanauma jamani yaani nimekaa na huyu mwanaume kwa miaka mitano nimekataa wanaume kibao ambao alikua wanani-approach wakiwa na nia njema nahisi nimechanganyikiwa sielewi wapi pakuanzia.
Nimelia hadi sauti imekauka i regret the day i said yes to him. Wanaume shikamooni sikuwai kudhani kuwa alikua na mahusiano nje, kha nimepata life time lesson wanawake wa humu muwe macho hapa nawaza ningekua nimemzalia daaah ningekua na hali gani nahisi ningechizi.
Hebu wanajammii nishaurini ntamsahauje huyu maana naona kama siwez siku ya nne leo am not myself. Yaan kadiriki kumpa simu mwanamke wake mpya waniambie kuhusu uhusiano wao mapenzi yauma jamani najiuliza nina tatizo gani jaman jaman nitamsahauje huyu.........
pole,ni jambo la kawaida katika mapenzi,ila ungeweka picha yako japo tukuone unavotia huruma
Kwan na comment vibaya
Samahani lakini, sijui nimekuelewa vibaya..Dada pole sana,yaliyokupata wewe yalinipata mimi,ingawa mie ni mwanaume.Yupo dada mmoja nilimpenda sana sana,na nilimkuta darasa la 7 nikamsomesha akafika diploma,nikampangia nyumba na nikamtafutia kazi,mie nina mke wangu wa ndoa yeye akawa nyumba ndogo.Tuliishi nae miaka 7 na kila nikimpa mimba anatoa,akaomba nimbunulie gari nikafanya hivyo na kila alichoomba nilijitahidi kumpa.Siku moja alinipigia simu akiwa na mama take mzazi na kuniambia nimkome na kwamba hana shida na mimi bali alikuwa na shida na hela zangu hivyo nisimjue tena.Nilisikia uchungu sana nikamjibu asante.Kila siku nilikuwa namuomba mungu anipe uwezo nimsahau na ansamehe yule dada,baada ya mwaka nilimsahau kabisa na nilipata mdada mwingine ambae tunaishi nae vizuri sana,sasa baaday ya miaka 4 hivi yule dada alipigika ile mbaya sasa hivi yupo tu hapa mjini anafanya vibarua vya kufagia ofisi za watu,nakuomba ujifunze kitu kwenye huu mkasa wangu
I agree i remember tha frst tym i almost killed ma self coz ov em..!!! Bt tnx to God he shown me the right path..!!! My dear all i can say is that time is the only best healer..!!! Utapata furaha n faraja moyon mwakoPole sana. Huwezi jua mungu kakuepusha na nini. Kubali na move on. Wapo wengine bora zaidi yake ni suala tu la muda
Thanks kwa kumalizia mkuuumesema ila hujamaliza, never trust a human being rather trust God.
mwaaaaaaaaaaaHayaaa karibu
Picha yako plzYaan nimeachwa kwenye mataa mapenzi yanauma jamani yaani nimekaa na huyu mwanaume kwa miaka mitano nimekataa wanaume kibao ambao alikua wanani-approach wakiwa na nia njema nahisi nimechanganyikiwa sielewi wapi pakuanzia.
Nimelia hadi sauti imekauka i regret the day i said yes to him. Wanaume shikamooni sikuwai kudhani kuwa alikua na mahusiano nje, kha nimepata life time lesson wanawake wa humu muwe macho hapa nawaza ningekua nimemzalia daaah ningekua na hali gani nahisi ningechizi.
Hebu wanajammii nishaurini ntamsahauje huyu maana naona kama siwez siku ya nne leo am not myself. Yaan kadiriki kumpa simu mwanamke wake mpya waniambie kuhusu uhusiano wao mapenzi yauma jamani najiuliza nina tatizo gani jaman jaman nitamsahauje huyu.........