Mapenzi yananitesa, bora nife tu

Mapenzi yananitesa, bora nife tu

Yan mleta mada kwa hz comment, km namuona vile anavyobubujikwa na litre za machozi yan comment za faraja ni aslimia 5℅ out of 90℅
 
Ashura ni nini ulitaka kutoka kwangu sikukupa, japo sikuwa na kazi ya kueleweka lakini nilipambana kwa ajili yako na mtoto wetu huku nikijipa moyo wanaume tumeumbwa kuteseka, licha ya magumu yote niliamini ipo siku Mungu ataniona.

Ooh, lakini imekuwa tofauti kwangu kumbe hata mtoto uliyesema ni wangu Ashura umenidanganya umezaa na mtu mwingine, bora angekuwa ni mtu wa mbali kumbe ni kaka yangu wa damu na sasa mnapanga mniroge niwe kichaa.

Ashura ahadi zote ulizonipa kumbe ulikuwa ukinilaghai, kumbe mwenzangu kwa kushirikiana na kaka yangu mlipanga kunimaliza na hata kile kidogo nilichokuwa nacho mnataka kukichukua.

Ashura siamini kama ni wewe ndio umekuja kuwa hivi, lakini mimi ndio nilikuwa mpumbavu, walimwengu waliambia kuhusu wewe sasa nitaficha wapi uso wangu mimi!

NI BORA NIFE TU NIKAMPUNZIKE KULIKO KUISHI KWENYE HII DUNIA ILIYOJAA MATESO.

Kwaherini wana JF tutaonana mbinguni kwa Baba.
Bora Ufe idadi ya wajinga ipungue...Mademu kibao ivi ujiue kisa Ashura we mwehu kweli.
 
Kama hutokufa. Kijana mwanaume kamili hawezi kuwa na mwanamke mmoja. Mambo ya kuwa na mwanamke mmoja kama mama Yako ndio Huwa yanaleta shida kama hiyo ulio kumbana nayo.

Lakini kikubwa maumivu ya mapenzi huku komaza amini nakwambia hakuna Ambae ajawahi kuumizwa kwenye mahisiano. Na furaha tunayo itafuta atuwezi kuipata Hadi tunaingia kaburini😭😭😊

Pole Kwa yaliyo kupata wewe sio wakwanza kutumia kwenye mapenzi na hautokuwa wa mwisho. Hivyo kama utaamua kujiua kwaajili ya jambo la kijinga kama Hilo utakuwa umekufa kizembe sana na tutamlaumu mama Yako kuivumilia mimba Yako akitarajia atazaa mtu mwenye manufaa badala yake anatuletea matope Duniani...{jokes}

Brother maisha ni matamu sana acha kujiwazia UJINGA utapata mwanamke mwingine mzuri kama Zaidi ya huyo. Ila zingatia mwanamke anaepewa nafasi kubwa zaidi ni mama TU ambaye anafaa kuwa peke yake ila Hawa wapenzi unatakiwa uwe nao kama 10.

Kama simu TU Ina power bank wewe ni nani ukose back up. Yako kwenye mahisiano

R.I.P tutaonana baadae​
 
Boss niachie kwanza no ya Ashura ni mshenzi sana nataka nimfate nikamseme ukishaenda uko kupumzika
 
Ashura ni nini ulitaka kutoka kwangu sikukupa, japo sikuwa na kazi ya kueleweka lakini nilipambana kwa ajili yako na mtoto wetu huku nikijipa moyo wanaume tumeumbwa kuteseka, licha ya magumu yote niliamini ipo siku Mungu ataniona.

Ooh, lakini imekuwa tofauti kwangu kumbe hata mtoto uliyesema ni wangu Ashura umenidanganya umezaa na mtu mwingine, bora angekuwa ni mtu wa mbali kumbe ni kaka yangu wa damu na sasa mnapanga mniroge niwe kichaa.

Ashura ahadi zote ulizonipa kumbe ulikuwa ukinilaghai, kumbe mwenzangu kwa kushirikiana na kaka yangu mlipanga kunimaliza na hata kile kidogo nilichokuwa nacho mnataka kukichukua.

Ashura siamini kama ni wewe ndio umekuja kuwa hivi, lakini mimi ndio nilikuwa mpumbavu, walimwengu waliambia kuhusu wewe sasa nitaficha wapi uso wangu mimi!

NI BORA NIFE TU NIKAMPUNZIKE KULIKO KUISHI KWENYE HII DUNIA ILIYOJAA MATESO.

Kwaherini wana JF tutaonana mbinguni kwa Baba.
Dunga mawe , wa Kontawa
Toto IDD wa juma nature
Na Sasa Sele ,selemani wa mboso
 
Ashura ni nini ulitaka kutoka kwangu sikukupa, japo sikuwa na kazi ya kueleweka lakini nilipambana kwa ajili yako na mtoto wetu huku nikijipa moyo wanaume tumeumbwa kuteseka, licha ya magumu yote niliamini ipo siku Mungu ataniona.

Ooh, lakini imekuwa tofauti kwangu kumbe hata mtoto uliyesema ni wangu Ashura umenidanganya umezaa na mtu mwingine, bora angekuwa ni mtu wa mbali kumbe ni kaka yangu wa damu na sasa mnapanga mniroge niwe kichaa.

Ashura ahadi zote ulizonipa kumbe ulikuwa ukinilaghai, kumbe mwenzangu kwa kushirikiana na kaka yangu mlipanga kunimaliza na hata kile kidogo nilichokuwa nacho mnataka kukichukua.

Ashura siamini kama ni wewe ndio umekuja kuwa hivi, lakini mimi ndio nilikuwa mpumbavu, walimwengu waliambia kuhusu wewe sasa nitaficha wapi uso wangu mimi!

NI BORA NIFE TU NIKAMPUNZIKE KULIKO KUISHI KWENYE HII DUNIA ILIYOJAA MATESO.

Kwaherini wana JF tutaonana mbinguni kwa Baba.
KUFAAAA, KUFAAAAA, KUFAAAA
 
𝐍𝐆𝐎𝐉𝐀 𝐓𝐈𝐌𝐔 𝐊𝐀𝐓𝐀𝐀 𝐍𝐃𝐎𝐀 𝐖𝐀𝐉𝐄
 
20220303_223242.jpg

To the fallen soldier!!!, ila tafuta hela tu mkuu hizo zote ni stress za hela siyo mapenzi.
 
Ashura ni nini ulitaka kutoka kwangu sikukupa, japo sikuwa na kazi ya kueleweka lakini nilipambana kwa ajili yako na mtoto wetu huku nikijipa moyo wanaume tumeumbwa kuteseka, licha ya magumu yote niliamini ipo siku Mungu ataniona.

Ooh, lakini imekuwa tofauti kwangu kumbe hata mtoto uliyesema ni wangu Ashura umenidanganya umezaa na mtu mwingine, bora angekuwa ni mtu wa mbali kumbe ni kaka yangu wa damu na sasa mnapanga mniroge niwe kichaa.

Ashura ahadi zote ulizonipa kumbe ulikuwa ukinilaghai, kumbe mwenzangu kwa kushirikiana na kaka yangu mlipanga kunimaliza na hata kile kidogo nilichokuwa nacho mnataka kukichukua.

Ashura siamini kama ni wewe ndio umekuja kuwa hivi, lakini mimi ndio nilikuwa mpumbavu, walimwengu waliambia kuhusu wewe sasa nitaficha wapi uso wangu mimi!

NI BORA NIFE TU NIKAMPUNZIKE KULIKO KUISHI KWENYE HII DUNIA ILIYOJAA MATESO.

Kwaherini wana JF tutaonana mbinguni kwa Baba.
Acga ufala mtoto wa kiume unamlilia mwanamke wakati wamejaa kibao kitaa huu ni ujuha
 
Kufa tukuzike maeneo bado makubwa sana
 
Kama ni kisa Cha kweli nakupa pole kutoka moyoni, Ila Kama umetunga hiki kisa, sikiliza wimbo wa marioo dear x Mara 60, alafu mwombe diamond lile jeneza lake alilofanyia shoo yake wasafi festival.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom