Mapenzi yananitesa, bora nife tu

Mapenzi yananitesa, bora nife tu

Wanawake wako two siides Killers/ Healers i.e Wauaji/Waponyaji. Ashura Unaua....
Sasa nilitegemea wanawake wa humu Jf sijui akina Joanah, Jtete na wengine Wamponye. Wampe zawadi. a.k.a wamtunuku ka kithuu...
Au unasemaje Marehemu Mtarajiwa?
 
Nimeandika nimefuta nimeandika nimefuta nimeandika nimefuta ila umenipa hasira, mwanaume halili mapenzi wanawake wako kwani huyo Ashura ana uke wa dhahabu??
Anajua kuifinyia kwa ndani mkuu.
 
Wenzetu mapenzi mnayachukulia serious sana kumbe aisee au sijawahi kupenda
 
Ashura ni nini ulitaka kutoka kwangu sikukupa, japo sikuwa na kazi ya kueleweka lakini nilipambana kwa ajili yako na mtoto wetu huku nikijipa moyo wanaume tumeumbwa kuteseka, licha ya magumu yote niliamini ipo siku Mungu ataniona.

Ooh, lakini imekuwa tofauti kwangu kumbe hata mtoto uliyesema ni wangu Ashura umenidanganya umezaa na mtu mwingine, bora angekuwa ni mtu wa mbali kumbe ni kaka yangu wa damu na sasa mnapanga mniroge niwe kichaa.

Ashura ahadi zote ulizonipa kumbe ulikuwa ukinilaghai, kumbe mwenzangu kwa kushirikiana na kaka yangu mlipanga kunimaliza na hata kile kidogo nilichokuwa nacho mnataka kukichukua.

Ashura siamini kama ni wewe ndio umekuja kuwa hivi, lakini mimi ndio nilikuwa mpumbavu, walimwengu waliambia kuhusu wewe sasa nitaficha wapi uso wangu mimi!

NI BORA NIFE TU NIKAMPUNZIKE KULIKO KUISHI KWENYE HII DUNIA ILIYOJAA MATESO.

Kwaherini wana JF tutaonana mbinguni kwa Baba.

Dhumuni la uwepo wako hapa duniani ni kwa ajili ya mapenzi?
 
Kwa mambo kama haya Wanaume wanakua viumbe villivyo hatarini kutoweka si miongo mingi ijayo
 
Unatakiwa ufe pumbavu kabisa
Dungamawe mimi sikubaliani kabisa na uamuzi wako wa kujiondoa nazidi tena kuku kumhusha kwamba Mungu muumbaji wetu anakupenda sana.Hiyo changamoto uliyoisema ni ndogo sana ukilinganisha na za wengine ukizisikiliza.Acha kabisa hayo mawazo nasema achaaa.
 
Dungamawe mimi sikubaliani kabisa na uamuzi wako wa kujiondoa nazidi tena kuku kumhusha kwamba Mungu muumbaji wetu anakupenda sana.Hiyo changamoto uliyoisema ni ndogo sana ukilinganisha na za wengine ukizisikiliza.Acha kabisa hayo mawazo nasema achaaa.
Asante
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom