Mapenzi yananitesa, bora nife tu

Hapo paragraph ya mwisho umemaliza vizuri kabisa.....hii kanuni ni Bora kabisa
 
Kifo Chema
 
Mwambie Yesu shida zako, ,,,, nenda kanisani utapata faraja mpya usijiue kwa Jina la YESU, bado tumaini lipo.
 
Pole sana kwa yaliyokusibu. Unapaswa uelewe usaliti hutoka kwa watu wetu wa karibu, tunaowathamini na kuwaamini.

Ukijiua haibadilishi ukweli kwamba Ashura amekusaliti na kaka yako. Wala haitamfanya Ashura aache kujamiiana na wanaume wengine. Sasa kwanini ufe kifo kisichokuwa na faida?

Kubali kuumia, ndiyo tiba pekee ya maumivu uliyosababishiwa na Ashura na kaka yako. Baada ya muda utakuwa sawa.

Kujiua ni uoga, udhaifu na siyo uanaume. Wanaume tumeumbwa kukabiliana na changamoto zinazotukumba sisi na watu wetu wa karibu.

Njia pekee ya kulipiza kisasi kitakachowauma ni wewe kufanikiwa, kuwa bora zaidi ya ulivyo leo, na uoe mwanamke mrembo na bora kuliko Ashura.

Pambana.
 
Pole Dogoo!! Nipasie namba za Huyo Ashura nami nione namna ya kufanya Jambo,, ulimwenguni hapa Acha kulialia Dogoo gangamala Haswa Mtoto wa kiume wewe,,tupa kule endelea na maisha ya kila siku ukileta Ufilipino kwenye mapenzi ya kibongo utatapika kamasi,,na Kama umeona kung'ata mbao ndio suluhisho wewe kufa tuu,,Mbona palestina huko wanakufa maelfu Kwa siku na ni watoto na Wanawake hawana hata hatia,,ije kuwa wewe mpumbavu mmoja!!Toa upuuzi wako hapa
 
Pumbavu Sana huyo jamaa
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…