Bila shaka umefuatilia comments zangu tangu awali na hasa nilizokuwa namjibu Cute B, mabishano yetu ilikuwa ni love is unconditional thing,it doesn’t necessarily need people of the same class to exist. If you can’t date a person be’se he/she not in the same with you be it financially or whatever then that’s not love. kwa hiyo mpaka hapa wewe umethibitisha kwamba hakuna upendo wa kweli(true love).
Ni kweli kabisa mke kumuhudumia mume ni kosa na ni against nature ikiwa tu yafuatayo hayatokuwepo katika ndoa/mahusiano hayo;
1.Mke kuwa na kazi ya kumuingizia kipato na anatumia muda mwingi zaidi katika kushughulika na kazi hiyo ya kumuingizia kipato kuliko kuangalia familia.
2.Mke kutofanya majukumu yake kama mama na badala yake kukabidhi majukumu hayo kwa watu wengine wafanye badala yake.
3.Bwana kupatwa na matatizo yanayoweza kumfanya akasitisha shughuli zake za kumuingizia kipato kwa wakati huo.
Nakubaliana na wewe kabisa, kuwa wanawake mnatakiwa muwe patient na kusapoti waume/wachumba zenu katika kutumia potentials zao na hatimae wote mje mfaidi matunda baadae. Lakini ni wanawake wangapi mliotayari kufanya hili? wengi wenu najua hamtaki hata kusikia!
Lets stop citing these michelle’s stories issue bacause the way you try to put it, it disfigures the whole meaning of this discussion.
Ila nimefurahi tu ume justify mwenyewe kwamba kitu kinachoitwa mapenzi ya kweli hakipo siku hizi. Now days people are too materialistic and they pretentiously place love where they see there is a pool of milk.
Mkuu hakuna watu wavumilivu kama wanawake
I tell you hakuna binadamu mvumilivu kama mwanamke
Wanawake kila siku wanaolewa na average guys tu unasema hawako tayari kuvumilia.?Man please
Ila gharama za uvumilivu ndo zimefikisha mabinti wa kileo hapa..unavumilia but the man pays u shiit
Waulizeni Mama zetu kadhia walizopata kwny ndoa..most mamas walionyanyasika kwny ndoa wimbo mkuu anaohubiria binti yake ni awe independent mume asimtese km yeye alivoteseka
Atapambana no sitaki uolewe hadi upate degree au kazi au masters chochote yani ili mradi akuone ur better than her..like wise baba hamna baba anaedidimiza binti yake
No wonder kila mtu anatoka kutafta ukisubiri uletewe mtu anakunyanyasa mnoo
Afu watu mnakuaga biiize oh mama zetu hivi mama zetu vile
They tell their daughters a very different stort
Wanawake watakubaliana na mimi
Unless mwanamke mwenyewe ndo ajifunze elimu ya mahusiano..na ajitambue familia ni muhimu kwangu kuliko career..God has put that at the heart of every woman..u js need to find it and enjoy the wifely/mother/homemaker part as a woman
Kuhusu mapenzi usitizame wanawake tu
Jiulizeni wanaume mnapenda nini kwa wanawake
Let me tell you..tako,sura,hips,miguu ya bia,kiuno,sex,ana kazi ,ana elimu .,ana exposure,ana penda watoto nk
Utachukua bora mwanamke tu ama utachagua mzuri?..its all conditional..hupendi tu blindly/unconditional.,kuna selfish motives attached
Everybody needs a starting point ya mapenzi..uvumilivu ndo huwa una shinda watu
About Michelle i js wanted to say she's no different frm other women.,she was js educated and fell in love wth a guy who wanted to be president..Obama alikua mtu wa calibre yake..both Ivy League goers,black successful lawyers, tall..they met at marriageable ages etc etc