Mapenzi ya siku hizi michosho tuu

Mapenzi ya siku hizi michosho tuu

Unakuta unatoka na demu out, tena abda umemsafirisha toka mkoa mwingine. mkifika sehemu labda pub yaani kazi yake ni kula na kunywa na fuuul kuchati, hata cjui anakuwa anachati na nani hakuna hata maongezi, mxewuuuuuu!!!

Unaishia kuchunwa tuu hata story hamna, inaboa saana.
Wanawake wa zamani walikuaje?

Nahisi tofauti ni hapo tu kwenye ubusy wa kuchat kutokana na uwepo wa smartphones sikuhizi

Ila sina hakika kuna utofauti wa Uchunaji wa sasa na wa zamani.
 
Back
Top Bottom