Mapenzi ya siku hizi michosho tuu

Mapenzi ya siku hizi michosho tuu

Wanaume wa Dar ni wavivu kula ugali hadi kuongea.
Yaani mwanaume wa Daslam anataka yeye ndie apigishwe stories na mdada...[emoji12] [emoji12]
Halafu aje tena humu alalamike Story za wasichana michosho tu....
 
Unakuta unatoka na demu out, tena abda umemsafirisha toka mkoa mwingine. mkifika sehemu labda pub yaani kazi yake ni kula na kunywa na fuuul kuchati, hata cjui anakuwa anachati na nani[emoji21] [emoji21] [emoji21] [emoji21] hakuna hata maongezi, mxewuuuuuu!!!

Unaishia kuchunwa tuu hata story hamna, inaboa saana.
Wanawake wa zamani walikuaje?

Nahisi tofauti ni hapo tu kwenye ubusy wa kuchat kutokana na uwepo wa smartphones sikuhizi

Ila sina hakika kuna utofauti wa Uchunaji wa sasa na wa zamani.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] kazi kwako ushimen
Naona mbuzi anaelekea kibla mlangoni kwa muuza supu......[emoji12] [emoji12] [emoji12] .
Ebu ngoja nisubiri kwenye umaliziaji tu
 
Back
Top Bottom