Mapenzi ya siku hizi michosho tuu

Mapenzi ya siku hizi michosho tuu

Wallahy my sons have to be Alpha Males.

There is no excuse, There is no shortcut.

They just have to be.

Leader of the packs.

***** zao.
 
Unakuta unatoka na demu out, tena abda umemsafirisha toka mkoa mwingine. mkifika sehemu labda pub yaani kazi yake ni kula na kunywa na fuuul kuchati, hata cjui anakuwa anachati na nani hakuna hata maongezi, mxewuuuuuu!!!

Unaishia kuchunwa tuu hata story hamna, inaboa saana.
Huu ulalamikaji unaonyesha mtoa mada ana walakini.
 
Una date wadada wajinga wajinga tafuta mwanamke anayejielewa kwanza
 
b9bea7be6613cfbeb2b8cee359c3b799.jpg
9f1c9fdbb8d6a0abda8644abe52db75d.jpg
cc61d64f23df50caef12168249bf870f.jpg
Usishangae ndio walivyo kulalamika wanawaiga Dada zao
 
Back
Top Bottom