Natakakutulia
Member
- Jan 20, 2020
- 56
- 385
- Thread starter
- #21
Najua, wasikate tamaa waamini Mungu yupo kuna siku watashinda. Hata mimi nimepitia mengi sana siku nikipata muda nitasimulia te a mikasa mingine ambayo ya maumivu ila Mungu ananishindia na naendelea kupambana.Dada Wapo wanaopitia Hali Kama yako na wamekata Tamaa Naomba watie moyo