"Mtu ni Utu sio Kitu"
mtu ni mnyama
mtu ni utu
so wanyama na watu =1.
nawasilisha
mtu ni mnyama, haina ubishi, na umoja wa watu na wanyama uko hapo tu na si vinginevyo. Na ndio hapo dhana ya mtu ni utu inakuja, kwa maana ya binadamu ni mnyama mwenye akili kuliko wanyama wengi........ Mwanadamu ana-control wanyama wengine.