Sifa na utukufu kwake anaetujalia🤗🤗🤗Dada ana body ya maana, anyway MUNGU mwema
Sifa na utukufu kwake anaetujalia🤗🤗🤗Dada ana body ya maana, anyway MUNGU mwema
Asante sana. Kuna watu wanatoa comments za kuhuzunisha sana. Utadhani siyo binadamu. Infact Afrika watu wengi hatuna utu.Disability is not inability
Nafuu kuwa na ulemavu wa viungo kuliko ulemavu wa ''utu''. Yaani binadamu unatenda kama huna utu.MUNGU hachagui kama unavyo chagua wewe....
Kuna mwalimu mmoja yupo lake zone yupo kama huyo mwanaume Alie oa...
He has a very strong family 😊😊
Inawezekana pia hata sisi ni walemavu watarajiwa maana waswahili husema hujafa hujaumbika.....
Hongera kwakeJamaa ndo yuko TRA
Mwanaume ndo yupo TRA customKuna video nimetumiwa inaonesha dada yuko TRA kafunga ndoa na mpenzi wake ambaye ni mlemavu
Aise huyu dada Ana moyo wa kipeke kabisa kumbe mapenzi ya kweli bado yapo?
Ova
Miss Natafuta
Victoire
Sky Eclat
Bushmamy
Nifah
View attachment 2758343
Kama Hana barriers zozote huyo ni kama mimi tuAsante sana. Kuna watu wanatoa comments za kuhuzunisha sana. Utadhani siyo binadamu. Infact Afrika watu wengi hatuna utu.
Ndo nimesikia hivyoWewe nawe! Nimecheka kweli. Ni utani au kweli?
Huo ndo ukweli wa wengi hapa...Du. Hata na wewe mkuu. Kwa nini mpaka moyo wa jiwe? 🤣
AmenSifa na utukufu kwake anaetujalia🤗🤗🤗
Na wewe na ma-equation yote unaamini kuwa ulemavu ni kikwazo kwenye kuchepuka? Kwanza huu ni unyanyapaa.
Siku zote ili mfike lazima mmoja akubali kujishusha sisi waislam dini yetu inatuambia ni LAZIMA um TII mumeoWengi huwa hatupendi kuweka ukweli, zaidi ya hisia; na kumpata mtu atakayejali hisia, pia ni changamoto.
Kwa mazingira yale, kuna mmoja atakuwa amejishusha zaidi ili lengo litimie; na mwisho wa siku ni kukubali matokeo huko mbeleni.
Siku zote ili mfike lazima mmoja akubali kujishusha sisi waislam dini yetu inatuambia ni LAZIMA um TII mumeo
So lazima ukubali kuongozwa na mumeo haimaanishi kwamba umuogope no,au umsikilize Kila kitu hapana Ila unatakiwa umtii ndo kujishusha kwenyewe
Nyie ndio mtakuja kufanya mapinduzi 😀Dada ana body ya maana, anyway MUNGU mwema
Sasa unaweza Kuta sio hivyo, maana naskia jamaa yupo vzr zaidiNakubaliana na hoja yako, kwa haya mazingira ili idumu inabidi me ndio ajishushe zaidi, ata kama atasikia mwenzie anachepuka, inabidi kuwa mpole.
Ingawa asili ya viumbe, dume ameumbwa kutawala.
Salio ndio limenunua penzi; hakuna mapenzi ya dhati, ni maigizo.Sasa unaweza Kuta sio hivyo, maana naskia jamaa yupo vzr zaidi
Nina rafiki yangu yupo Kama huyo jamaa Ila kwa mkewe hapelekeshwi na mke pisi hivyo hivyo Ila he's financially good
Mwisho wa siku ukiwa wakiume tafuta hela hata Kama ukiwa umekamilika Kama huna ela uwezi mtawala hata kuku utamuacha tu akazulule
Never say hakunaSalio ndio limenunua penzi; hakuna mapenzi ya dhati, ni maigizo.