Mapenzi ya kweli kumbe yapo

Mapenzi ya kweli kumbe yapo

Dada wa watu kajichagulia mtu wake anaejua ni ngumu kumsaliti/kutamaniwa na mwanamke mwingine, kwahiyo penzi lao litakua salama. Nimeipenda mbinu yake ya kivita.
wee .nani kasema ,umalaya ni hulka utashangaa anachepuka eti
 
Kuna video nimetumiwa inaonesha dada yuko TRA kafunga ndoa na mpenzi wake ambaye ni mlemavu
Aise huyu dada Ana moyo wa kipeke kabisa kumbe mapenzi ya kweli bado yapo?

Ova
Miss Natafuta
Victoire
Sky Eclat
Bushmamy
Nifah
View attachment 2758343
Mwanamke hafanyagi biashara ya kubet ktika mapenzi.

Lazima huyo mlemavu anapesa na ndio mwanamke kaziona.

Hakuna mwanamke anapenda kuolewa na masikini labda awe na tatizo kubwa la kiakiri ama maumbile.

Mwanamke hanaga mapenzi ya kweli pasipo pesa.

Kama huna pesa mwanamke utaishi nae ila atapigwa na wenye pesa lazima
 
Comment za humu zinafikirisha sana.
As if mtu akiwa mlemavu hana haki ya kupenda ama kupendwa mjaka awe na kitu cha ziada labda pesa ama wadhifa ndo apendwe.

Kuishi na jamii za hivi inataka moyo sana.hasa waafrica

Badilikeni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Comment za humu zinafikirisha sana.
As if mtu akiwa mlemavu hana haki ya kupenda ama kupendwa mjaka awe na kitu cha ziada labda pesa ama wadhifa ndo apendwe.

Kuishi na jamii za hivi inataka moyo sana.hasa waafrica

Badilikeni

Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani hawa viumbe!! Tukiwapenda taabu, tukiwaigizia napo taabu. Sijui hata ni nini wanataka🙆🙆🙆
 
Mwanamke wa hivyo labda umchore mwenyewe kwenye karatasi!

Taja na kazi ya Mwanaume...

-Kaveli-
Kaveli kwema? Nimeona heading kwa pm lakini bahati mbaya nashindwa kufungua pm tangu muda tu maana inagoma kufunguka.
 
Mkuu swali langu kwenye kuichakata hiyo mbususu haiwezi kua na changamoto au ataichakata vizuri kabisa maana huyo mdada ni Big booty

Old proverb

Mapenzi yapo moyoni na hudhihirika Kwa vitendo sio maneno
ATAIKALIA
 
Hao jamaa Mungu huwa anawabalancia kwenye centre bolt unaambiwa wanasmamia ugoko sana hao ndo mana kuna mkoa X yupo mmoja ni kiboko ya mashangingi
Hatariii.Kwa hiyo jamaa anamfikisha kilele Cha mlima evarist
 
FB_IMG_16944254052864718.jpg
 
Acheni uongo yaani mwanamke awe TRA akubali kuolewa na yule mshikaji wanawake wa hvyo hawajazaliwa Tanzania.
 
Back
Top Bottom