Wanawake wengine ndio sasa watamtaka..Dada wa watu kajichagulia mtu wake anaejua ni ngumu kumsaliti/kutamaniwa na mwanamke mwingine, kwahiyo penzi lao litakua salama. Nimeipenda mbinu yake ya kivita.
Inawezekana, kwa sababu si rahisi kupata pa kumwagiaIla nasikia wana nguvu sana...sio kama watu wazima...wakipeleka moto wanahakikisha cheche zinatoka...
Nimecheka sana khaaaaInawezekana, kwa sababu si rahisi kupata pa kumwagia
Ni sawa na kujilipua ukiamini unaenda mbinguniIshu ya usaliti ktk ndoa ndugu haiepukiki nadhani hata ww au mm sote twapitia changamoto hiyo, daah jamaa anafaidi😊
Jamaa yupo TRA na huyo bibie yupo UN so wote wapo vizuri mfukoni
Bibie akisafiri, ana uhakika akirudi atakuta wino umejaa zaidi na haujapunguaNimecheka sana khaaaa
Wewe nawe! Nimecheka kweli. Ni utani au kweli?Nimesikia mwanaume ndo yupo TRA
Nani kakuambia hawezi kusalitiwa? Watu kweli dunia hamjaijua.Dada wa watu kajichagulia mtu wake anaejua ni ngumu kumsaliti/kutamaniwa na mwanamke mwingine, kwahiyo penzi lao litakua salama. Nimeipenda mbinu yake ya kivita.
Na wewe na ma-equation yote unaamini kuwa ulemavu ni kikwazo kwenye kuchepuka? Kwanza huu ni unyanyapaa.Bibie akisafiri, ana uhakika akirudi atakuta wino umejaa zaidi na haujapungua
Mwamba ulikuwa ni ubavu wake huo kwa hiyo kaupata halafu Vilema wana nguvu sana kiunoni kwahiyo hata kwenye tendo sio haba. Mwanamke raha yake kubwa ni Tendo tu.Kuna video nimetumiwa inaonesha dada yuko TRA kafunga ndoa na mpenzi wake ambaye ni mlemavu
Aise huyu dada Ana moyo wa kipeke kabisa kumbe mapenzi ya kweli bado yapo?
Ova
Miss Natafuta
Victoire
Sky Eclat
Bushmamy
Nifah
View attachment 2758343
Mkuu mrangi hii sehemu kama Ulaya ipo sana. Wanawake wa kizungu wana misimamo imara kwenye mapenzi japo siyo wote. Kuna jamaa mmoja yuko kama taahira kidogo lakini alivyoopoa mtoto wa kizungu mkali hata mimi nilishangaa. Wana watoto wawili mpaka sasa na mmoja ya watoto wake amechukua ulemavu wa baba.Mapenzi ya kweli yapo kumbe
Ova
Hili nalo likatazamwe..Asiingiwe tu na ibilisi akabadilika
Dada mwenyewe hatasaliti? huu upande wa pili tusiache kuuzungumziaDada wa watu kajichagulia mtu wake anaejua ni ngumu kumsaliti/kutamaniwa na mwanamke mwingine, kwahiyo penzi lao litakua salama. Nimeipenda mbinu yake ya kivita.
Du. Hata na wewe mkuu. Kwa nini mpaka moyo wa jiwe? 🤣Inahitaji moyo wa jiwe...nimewaza mengi...
Binadamu ni binadamu tu ulemavu sio kinga ya usaliti mkuu.Ataki pasua kichwa ya hawa sixpack wapaka poda yupo salama hawezi salitiwa