Mapenzi ya kweli kumbe yapo

Mapenzi ya kweli kumbe yapo

Siku zote ili mfike lazima mmoja akubali kujishusha sisi waislam dini yetu inatuambia ni LAZIMA um TII mumeo
So lazima ukubali kuongozwa na mumeo haimaanishi kwamba umuogope no,au umsikilize Kila kitu hapana Ila unatakiwa umtii ndo kujishusha kwenyewe
Na kuna wengine pia wamebahatika wote kujishusha kwa misingi ya haki!!
 
Dada itakuwa kapendezwa na "kitu fulani"
 
Huo ni ubaguzi na unyanyasaji kwa binadamu mwenzio. Ujinga mtupu kuleta mada za namna hii (mlemavu) we ni mpumbavu.
 
Back
Top Bottom