Junior. Cux
JF-Expert Member
- Feb 3, 2011
- 5,319
- 3,771
Last edited by a moderator:
tumboo anakutafuta....
wewe anza kutangatanga uje ukose mwana na maji ya moto!!!!
hasara ya kupoteza mawasiliano ndio hiyo, amekuta mzigo umemilikiwa.
ene wei ufuate moyo wako unachokuelekeza manake hata ukifaidi ama ukipata hasara ni moyo wako ndio uta feel the test.
Ee Mungu kizazi hiki kinaangamia kwa kukosa maarifa........
. Wanawake wengne yaan akili zipo kwenye hedhi kadri unavyomwaga dam ya hedhi ndvyo akili znamwagika.
Hata mama yako mzazi akil yke ipo kwny hedh???????!!!!!!! Hapo ulipofka ni matunda ya mwanamke,,,,,, stupid man!!!!!!
kheeee eti aliolewa coz alichoka kukaa nyumbani??? kwaio hana kazi??? daaaaa mpe pole tu ila hafanyi poa kabisa
Omba talaka ila jua utaomba talaka mpaka kuingia kaburini
Nahisi ni ufosaro huyo namshauri amuambie mume wake kwamba hampendi ndo tuanzie hapo movie