Mapenzi utata, naomba umshauri huyu dada

Mapenzi utata, naomba umshauri huyu dada

Ee Mungu kizazi hiki kinaangamia kwa kukosa maarifa........

. Wanawake wengne yaan akili zipo kwenye hedhi kadri unavyomwaga dam ya hedhi ndvyo akili znamwagika.

Hahaaa nlishaanza kukutukana kumbe umesema 'kuna wanawake'
 
Program yangu ile ya kuzaa watoto na mabinti na kuwalea peke yangu inazidi kupata nguvu. Kuoa na kuishi na mwanamke itakua ndoto kwangu.
 
My god hivi dada hebu jiweke wewe kama mumeo halaf ukafanyiwe unachotaka kusikia utajifikiriaje halaf wewe dada kwa mumeo si wapata unachotaka mapenz ya dhat pia si anakupatia hiv umezaa nae tayar bado hujajifunza kumoenda na kwenda nae kwenye biti mambo mengine n.kujitakia ukienda kwa huyo kwanza ujichongee na jeneza kabisa.
 
Dada kabla sijakupa ushauri mzuri naomba unijibu maswali haya
1.tangu mawasiliano yarudi umeshakutana kimwili na huyo mchumba wa zamani?
2.una umri gani
3.muumini wa dini gani
 
Mtaka mwingi na saba hupata mwingi msibaaaa!!
My god hivi dada hebu jiweke wewe kama mumeo halaf ukafanyiwe unachotaka kusikia utajifikiriaje halaf wewe dada kwa mumeo si wapata unachotaka mapenz ya dhat pia si anakupatia hiv umezaa nae tayar bado hujajifunza kumoenda na kwenda nae kwenye biti mambo mengine n.kujitakia ukienda kwa huyo kwanza ujichongee na jeneza kabisa.
 
Mungu nisamehe kwa kuwatukana hawa viumbe... Amen!!!

tatizo lenu mnajifanyaga wajuaji kumbe hamjui nini mnachokuhitaji.

mmejawa tamaa ya mali msizozitafuta na ngono tuuu!!
mnahitaji kuombewa!!
 
Kuna umuhimu wa kumiliki silaha...
watu kama hawa, wasiojua nini maana ya maisha wanazidi kuongeza CO[SUB]2[/SUB] na CO..!
 
Kuna umuhimu wa kumiliki silaha...
watu kama hawa, wasiojua nini maana ya maisha wanazidi kuongeza CO[SUB]2[/SUB] na CO..!

mkuu naona unaitafuta siraha kwa hali namali.
Kuna moja n mpya ya mchina inaitwa norinco pisto. Inapakia risasi 11 ndan ya magazine na ukiwa mtaaram wa hivi vitu basi inaweza kupakia hata 12 : inapiga mita 100 hadi 250. Ila hizo mita mia inaua kabisa zngne zaidi hzo inajeruhi.
Kariba ya mtutu ni 2.3mm. Ni bastora nzur
 
mkuu naona unaitafuta siraha kwa hali namali.
Kuna moja n mpya ya mchina inaitwa norinco pisto. Inapakia risasi 11 ndan ya magazine na ukiwa mtaaram wa hivi vitu basi inaweza kupakia hata 12 : inapiga mita 100 hadi 250. Ila hizo mita mia inaua kabisa zngne zaidi hzo inajeruhi.
Kariba ya mtutu ni 2.3mm. Ni bastora nzur

Mkuu, nimeshajaza form tayari. Nitamiliki silaha kwa kibali halali...!
Watu kama hawa, ambao kazi yao ni kuchojoa ovyo..ni kuwapa dawa tu baaaas..!
 
Mkuu, nimeshajaza form tayari. Nitamiliki silaha kwa kibali halali...!
Watu kama hawa, ambao kazi yao ni kuchojoa ovyo..ni kuwapa dawa tu baaaas..!

safi sana karibu kwenye ulimwengu wa kuwatokomeza wanaojifanya wababe..

Unajua sisi wenye maisha ya mtanzania wa kawaida tunaonewa sana na matajiri.
Hasa wahindi na waarabu. Sasa kiboko yako na mguu wa kuku tu.
Ww unacheza na trigger tu
 
Ahaaaaa bahatii yakoo nlikua cjaelewa bt now nmekuelewa subir nifike moro ntakushaur
 
Back
Top Bottom