Mapenzi utata, naomba umshauri huyu dada

Mapenzi utata, naomba umshauri huyu dada

Naomba usipotezee watu muda,wewe nahisi hujui kupenda na unatamani kwa raha ya ngono tu,unajua maana ya ndoa?kama kweli ulikua unampenda huyo mzinzi mwenzako then ungemsubiri bila kuchoka ila inaonekana haukua na subira na pili ni msichana wa show off.Ulikua unaogopa umri unaenda na bado hujapata mwanaume na wenzako watakucheka.

Wasichana wangap wameolewa mpaka sasa?heshimu ndoa mana ni watu wachache sana hupata ndoa dadangu.Iheshimu sana ila kama una tamaa,omba talaka na umfate mzinzi mwenzako ambae mlikua mnapendana kwa styl za kitandan tu na hizo styl zikiisha na wewe atakupa talaka.Kwanza inaonekana huna heshima yan uko katika ndoa na unachat na X wako mambo ya ajabu kama hayo?assume mmeo nae angekua anachat na X wake,ungejskiaje?
Ridhika na upatacho dada
 
Acha umalaya wewe utakufa ukimuacha tu jamaa atakutafunatafuna akikuchoka anakupiga chini
 
Una pepo la kupenda. Kwanza kupenda ndio nini? ujielewi na upo upo tu kama nyandumbi.
 
Chanzo cha mauaji HAWA, pressure HAWA, ujambazi HAWA, kila unapoenda unakutana na kina HAWA, mateso yote ya mwanaume ni kwa ajili ya HAWA...sijui kwanini HAWA waliitwa HAWA!

Sent from my WhiteBerry using JamiiForums[/QUOT watatuua
 
kwanza dada pole sana! nakuomba usahau kupitia



























mungu wako, ndoa ni zawadi toka kwa mungu ishi na mme wako naamini huyo mme wako ndo chaguo lako toka kwa mungu, muogope mungu wako wewe, kwani alicho unganisha mungu mwanadamu hawezi kukitenganiha. ishi namme wako kwa upendo
 
Achana na mihemko mama... hakuwa mjinga Mungu aliyewapoteza kwa muda na kutoa fursa ya kuolewa na huyo...
 
Unakuta mwanamke anasota miaka kutafuta mwanaume amuone! Akitokea kuolewa kichwa chake kinarudi kwenye hisia za x wake! Mwingine unamkuta mpaka na card alizokuwa anatumia, may God forgive us, we love Jesus but we learn a lot from satan.
 
Nina mashaka na uwezo wako wa kufikiri.. Achika uone shughuli ilivyo.
 
Utakuwa na nembe ka mbo ndo mana unataka kusaliti ndoa yako!!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Kuwa na msimamo ndugu yangu, maisha hayataki hivyo - kubahatisha bahatisha, utajikuta pabaya ukose wa kumlaumu. Akili kichwani mwako.
Nipo kwenye ndoa kwa miaka 3 sasa na nimefanikiwa kuzaa mtoto mmoja.

Lakini kabla sijaolewa nilikuwa na mchumba aliyehitaji kunioa ila tulipotezaga mawasiliano miaka mingi sana.

Tatizo linalosababisha niombe ushauri ni huyu mchumba wangu wa zamani maana kwa sasa amerudi, kusema kweli bado nampenda sana na yeye pia amesema ananipenda anataka niombe talaka kwa huyu mume wangu wa sasa ili tuweze kuoana.

Huyu mume wangu wa sasa nilikubali tu kuolewa naye kwakuwa anajiweza na nilichoka kukaa nyumbani, ila yeye anaonesha ananipenda kweli.

Naombeni ushauri wenu niendelee tu na huyu mme japo simpendi au niende kwa mtu ninayempenda
 
Back
Top Bottom