Mapenzi ni nini jamani?

Mapenzi ni nini jamani?

Mapenzi ni mapenzi ndani yake yamegawanyika mara mbili
 
Auntie wako kama wanne hivi washanitukana humu bila jata sababu, unastukia tu mtu kakuquote anakuporomoshea matusi sijui ndio stress!! Akiwemo na yule wa mkoani tulosema mtusaidie mumchukue wa dar.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. Poleee.
 
Usitafute visingizio vya kutunyima watoto wa wanaume wenzio!!!

Kichaa changu karibu kinanipanda....

Nafikiria kuanzisha uzi wenye orodha ya majina ya niliowala.

Orodha hiyo itasheheni taarifa nyeti na za kina na ushahidi usiopingika.

Ngoja waendelee na chokochoko zao. Tutashindana kuonyeshana nani ni kichaa zaidi.

Hapatatosha humu.
 
Back
Top Bottom