Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,054
- 463,974
Unadunda uchawi hauvuki bahari halafu myuesiei huwa haamini uchawiHivi uchawi yuesiei unadunda eeh!!
Unadunda uchawi hauvuki bahari halafu myuesiei huwa haamini uchawiHivi uchawi yuesiei unadunda eeh!!
Hawatupigi bwana tunatumaga wenyeweWenzio wanazo wanatupiga wanapotukula eti.
Kwa hizi sura za baba zetu akianza ubaguzi hata kwa msaada wa heinken hatukuli




Usitafute visingizio vya kutunyima watoto wa wanaume wenzio!!!Ingependeza kama niliowala wangejitaja wenyewe kuliko kuanza kuwataja ambao sijawala!
As if nakula watu!!
Pitiful.
Anatafuta huruma tu.Hahahaaa!anajiwahiii
Nakuona tuu ila inabidi mimi nileft huku..Hahahaaa!! Mkwe mimi sijakuona kwakweli.
Ila myuesiei hamumuuzii mnajipeleka tu!!!Basi auntie kweli umekutana nayo sisi tumeshajizoelea ni makahaba na kujiuza mwanzo mwisho ndio tunavyoambiwa
Shem kwema lakini?
Auntie wako kama wanne hivi washanitukana humu bila jata sababu, unastukia tu mtu kakuquote anakuporomoshea matusi sijui ndio stress!! Akiwemo na yule wa mkoani tulosema mtusaidie mumchukue wa dar.



. Poleee.
Ila myuesiei hamumuuzii mnajipeleka tu!!!







myuesiei tunamoa roho inapendaNataka na sakayo ajue hivi tuu...wewe unambagua vipi na shunieMkwe takulaani ujue!!
Onja tu hutajutaaYaani kama sitaki alafu nataka hata sielewi.
Usitafute visingizio vya kutunyima watoto wa wanaume wenzio!!!