Mapenzi ni nini jamani?

Mapenzi ni nini jamani?

Kichaa changu karibu kinanipanda....

Nafikiria kuanzisha uzi wenye orodha ya majina ya niliowala.

Orodha hiyo itasheheni taarifa nyeti na za kina na ushahidi usiopingika.

Ngoja waendelee na chokochoko zao. Tutashindana kuonyeshana nani ni kichaa zaidi.

Hapatatosha humu.
Tobaaaaaaaaaa!! Dont do that bwana.
Mie nitakosa kwenye list utakuwa haujanitendea haki.
 
Back
Top Bottom