Mapenzi ni nini jamani?

Mapenzi ni nini jamani?

Auntie wako kama wanne hivi washanitukana humu bila jata sababu, unastukia tu mtu kakuquote anakuporomoshea matusi sijui ndio stress!! Akiwemo na yule wa mkoani tulosema mtusaidie mumchukue wa dar.
Basi auntie kweli umekutana nayo sisi tumeshajizoelea ni makahaba na kujiuza mwanzo mwisho ndio tunavyoambiwa
 
Back
Top Bottom