Mnakomenti kwa mashauzii kumbe wabovuuu, yaani mimi niwe mbovu alafu eti kuna mtu anaumia wakati hata hanijui. Raha sana.Kwa hizi sura za baba zetu akianza ubaguzi hata kwa msaada wa heinken hatukuli
Jifiche ndioBasi ngoja nijifiche![]()
Ndio yeye sukari yaoNdo yeye?!
Na kwenye nyuzi za hivyo huwakosi page za mwanzo kabisa.Ni makabichi yale. Kuna level flani mtu ukifikia hata na kuwaza kwako kunabadilika. Sasa ukiona mtu habadiliki ndo makabichi hayo
Mnakomenti kwa mashauzii kumbe wabovuuu, yaani mimi niwe mbovu alafu eti kuna mtu anaumia wakati hata hanijui. Raha sana.






vinachekesha sanaHivi ilikua wapi? Au kwenye viti vya Mlatie?Kwani wewe nilikukula lodge?
Hivi uchawi yuesiei unadunda eeh!!arogeke sasa
Mfyuuuuuu zako
Mkwe takulaani ujue!!
Shemeji yangu mieAiseee