Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,380
- 88,736
Wajitaje halafu iweje Sasa.Ingependeza kama niliowala wangejitaja wenyewe kuliko kuanza kuwataja ambao sijawala!
As if nakula watu!!
Pitiful.




Wajitaje halafu iweje Sasa.Ingependeza kama niliowala wangejitaja wenyewe kuliko kuanza kuwataja ambao sijawala!
As if nakula watu!!
Pitiful.




Weee. Kumbe na wewe ushaliwa na majini ya humu? Mi nimeliwa na jini NN tuuuNisikie mara ngapi sasa, nimeliwa na wengi humu acha tu.
Oooh poor me!!Unadunda uchawi hauvuki bahari halafu myuesiei huwa haamini uchawi
Ewalaaaaa! Si bahati hii! Ubebe na kadegree kabisa ili hali ya hewa iwe shwari.



Oooh kumbe!!Hawatupigi bwana tunatumaga wenyewe
Kumbee. Sikujua shooWe nawe hujui najishebedua kidogo kumvuta vuta.
Left kwakweli.Nakuona tuu ila inabidi mimi nileft huku..
Mnakomenti kwa mashauzii kumbe wabovuuu, yaani mimi niwe mbovu alafu eti kuna mtu anaumia wakati hata hanijui. Raha sana.










. Wakati wao ndo wako hivyo sasa. Tuendelee kujificha kwenye keyboard tuuMkuu..Kichaa changu karibu kinanipanda....
Nafikiria kuanzisha uzi wenye orodha ya majina ya niliowala.
Orodha hiyo itasheheni taarifa nyeti na za kina na ushahidi usiopingika.
Ngoja waendelee na chokochoko zao. Tutashindana kuonyeshana nani ni kichaa zaidi.
Hapatatosha humu.


utaanzisha vita ya 3 ya dunia..Hahahaaaa!myuesiei tunamoa roho inapenda
Si wanakua wanaambiana kabisa na kujazana info zao za uongoNa kwenye nyuzi za hivyo huwakosi page za mwanzo kabisa.
Unataka nae akakulwe?Nataka na sakayo ajue hivi tuu...wewe unambagua vipi na shunie
Katubaguaje tena jamaniNataka na sakayo ajue hivi tuu...wewe unambagua vipi na shunie
Anatokea gamboshi wanakouza uchawi bei ya jumlaHivi uchawi yuesiei unadunda eeh!!

JamaniKichaa changu karibu kinanipanda....
Nafikiria kuanzisha uzi wenye orodha ya majina ya niliowala.
Orodha hiyo itasheheni taarifa nyeti na za kina na ushahidi usiopingika.
Ngoja waendelee na chokochoko zao. Tutashindana kuonyeshana nani ni kichaa zaidi.
Hapatatosha humu.