Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,400
- 465,165
Sijarogwa walaa ni uwamuzi tuUmelogwa ama nini?
Sijarogwa walaa ni uwamuzi tuUmelogwa ama nini?
Mnoooo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mmekulana kwa ugumu woiiiii
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii dhambi hata kuitubu wakati mwingine nafsi inakusuta maana ukitoka hapo ndiko unakoelekea.
Si unaweza jikuta umemganda mtu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] auntie usighairi jamani mbona unanitisha na mm
Watakuiba jamani
Hahaha auntie nahisi hujawahi kukutana nao haoHao wa matusi wako wengi, wanaumiaga na sisi kama wametuzaa.
Watakuiba jamani
Utadata kama mimi shauri akoHuh!!! Basi nimeghairi maana naweza wehuka buree.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] unamganda huku umeachwa unawehukaSi unaweza jikuta umemganda mtu.
Akibagua hawali na nyie. Mi mwenyewe bila msaada wa Heineken angenikimbia lodge[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] myuesiei usianze ubaguzi ngoja utumalize sisi kwanza tunataka tukuje utukule ukimalizana na sisi ndio uanze ubaguzi
Mkwe tunasalimianaje lkn huku vichochoroni lakini[emoji85] [emoji85] [emoji85]Shikamoo mkwe
Halafu wanaenda jaza hasira zao na wengine wale wengine nao kwa akili zao fupi wanaamini [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wanakutukana hasira
Si unajua mimi sinaga unafiki...Mkwe tunasalimianaje lkn huku vichochoroni lakini[emoji85] [emoji85] [emoji85]
Hutakufa bwana. Ukikiacha kitaisha hicho.Aisee nyie wachuchu si mtaniua!!
Kisura bado anamhitaji daddy wake mjue [emoji16]
Huh!!!!![emoji134] [emoji134] [emoji134] [emoji134][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] ndio yeye
Akibagua hawali na nyie. Mi mwenyewe bila msaada wa Heineken angenikimbia lodge
Yani cha matusi ananichekesha matusi yake[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hayo matusi kuna cha matusi akikuona tu ndio matusi yake
Basi na mimi nataka, ila uandae heinken za kutosha.Ni nani sasa kama siyo mimi? Kuna mwingine aliyemla Mzigua zaidi yangu? Teh teh