Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Sijarogwa walaa ni uwamuzi tuUmelogwa ama nini?
Sijarogwa walaa ni uwamuzi tuUmelogwa ama nini?
Hii dhambi hata kuitubu wakati mwingine nafsi inakusuta maana ukitoka hapo ndiko unakoelekea.







Si unaweza jikuta umemganda mtu.auntie usighairi jamani mbona unanitisha na mm
Watakuiba jamani
Hahaha auntie nahisi hujawahi kukutana nao haoHao wa matusi wako wengi, wanaumiaga na sisi kama wametuzaa.
Utadata kama mimi shauri akoHuh!!! Basi nimeghairi maana naweza wehuka buree.
Akibagua hawali na nyie. Mi mwenyewe bila msaada wa Heineken angenikimbia lodgemyuesiei usianze ubaguzi ngoja utumalize sisi kwanza tunataka tukuje utukule ukimalizana na sisi ndio uanze ubaguzi
Halafu wanaenda jaza hasira zao na wengine wale wengine nao kwa akili zao fupi wanaaminiwanakutukana hasira

Si unajua mimi sinaga unafiki...Mkwe tunasalimianaje lkn huku vichochoroni lakini![]()
![]()
![]()
Hutakufa bwana. Ukikiacha kitaisha hicho.Aisee nyie wachuchu si mtaniua!!
Kisura bado anamhitaji daddy wake mjue![]()
Akibagua hawali na nyie. Mi mwenyewe bila msaada wa Heineken angenikimbia lodge
Yani cha matusi ananichekesha matusi yakehayo matusi kuna cha matusi akikuona tu ndio matusi yake
Basi na mimi nataka, ila uandae heinken za kutosha.Ni nani sasa kama siyo mimi? Kuna mwingine aliyemla Mzigua zaidi yangu? Teh teh