Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,375
- 176,223
Auntie ushaambiwa kuna majini humu ujue, vingine sio vya kuomba kabisa.auntie nimecheka sana
Auntie ushaambiwa kuna majini humu ujue, vingine sio vya kuomba kabisa.auntie nimecheka sana
Daaah



myuesiei acha tu na sisi tukuje kwenye foleniWanajifariji tuuuuuNdio hapo sasa unaanzaje kunuka mdomo
Huh!!! Basi nimeghairi maana naweza wehuka buree.






auntie usighairi jamani mbona unanitisha na mm
na hatutajutia hata akitukula na kutuacha jamani mana myueseiei sidhani kama anarudia mara ya pili kukukula
Wadau hivi tafsiri sahihi ya mapenzi haswa ni nini?
Wanasema mapenzi yanarun dunia ni kweli?
Kwa nini ukimpenda mtu unamtamani muda wote?
Hivi kwa nini mwingine anaua au kuuwawa kisa mapenzi?
Kwa nini wengine wanaona wengine wanaachana?
Hivi kwa nini baadhi hujinyonga eti kisa mapenzi!?
Mapenzi yanaishi au hupatikana wapi?moyoni,machoni,akilini au mwilini?
Kwa nini wapo husema mapenzi pesa wengine husema mapenzi akili?
Hivi haya ni kitu gani?
Mapenzi ya DHATI ni yapi?
Jamani kwa nini wengine wanapendwa wasipopendwa?huku wengine wanapendana wote?
Hivi unaweza kumdhuru au kumsaliti unayempenda kwa dhati?
Unaweza penda mume au mke wa mtu?
Unawezaje penda mtu usiemfahamu?
Aiseee!mapenzi jamani!
Unakuwa unamtamani ili umfanyie nini?

Nipo mzima nakunywa fanta passionHeineken..
Ovaaa!Kuna ukweli hapa hasa kwa wanaume kama huna pesa subiri malaika.ova
Ndio kilichobakNa mkulane tu jamani
Tatizo sasa hawawezi jua upi ukweli upi uongo. Na wanaume walivyo watataka kujua jee ni kweli mdomo unanukaInabidi tu tuwaambie ndio mambo za jf tu



Nisingejuwa kwa nn jamani auntieHahahaaaa!! Auntie ai usingejua matumizi yake!
Anarudia, mbona kwa mzigua karudia mara tatu. Nami nitataka tena.na hatutajutia hata akitukula na kutuacha jamani mana myueseiei sidhani kama anarudia mara ya pili kukukula
Shikamoo mkweAuntie ushaambiwa kuna majini humu ujue, vingine sio vya kuomba kabisa.
Niliogopa kuomba maana naweza shangaa nimetumiwa yangu nikaangusha katecno kangu nikaingia hasara.




















Mi sijuti ila kila siku nashangaa tabia za watu. Kuna tabia bila kuwa humu nisingejua zipo. Na nilivyo tomaso sasa. Ningeambiwa na mtu ningebisha. Ila najionea nabaki hivi huyu ana akili kichwani au kajaza makabichi







kajaza makabichiVichocheo ni kama vitu gani?Mapenzi ni kama moto ukikosa vitu vya kuchochea tu lazima upunguze makali
Umelogwa ama nini?Nipo mzima nakunywa fanta passion
Ndo maana mi sitak kulaumiwa wakati nilipata utamuMyuesiei ana sifa nyingi zinazotuita tunajipeleka tu, sio makosa yetu kwakweli tusilaumiwe kabisaaaaaaa!
Hahahaha hatutakuuwa we si hurudii kukula jamani unatukula mara moja tuAisee nyie wachuchu si mtaniua!!
Kisura bado anamhitaji daddy wake mjue![]()