Atoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 89,388
- 176,260
Hasira kuwa wamekukula au hasira za nini sasa!!wanakutukana hasira
Hasira kuwa wamekukula au hasira za nini sasa!!wanakutukana hasira
Kwani wewe ndio myuesiei?
Achana nao kipenzi. Mi naomba tena rematch kwanza halafu urudi na ile dawa ya mdomo ulinambia utanleteaMaajabu ya mwaka haya!
Walioliwa wanatangaza kuwa nimewala ambao bado sijawala!
Indeed, now I really believe that if you ain’t got haters you ain’t poppin’.
Rock on Mama Li. You are class personified.
WooooooozeeeeerPale katii patamu
Ooooh na yule jamaa mfupiIle ya Easter bwanaa
Umesemaaaa? Haki akili zao zinalingana ndo maana wanajazana ujinga sanaHahahaaaa!! Na hivyo akili wanalingana sasa!!
Hahahaaaaa!! Eti kabichi.Mi sijuti ila kila siku nashangaa tabia za watu. Kuna tabia bila kuwa humu nisingejua zipo. Na nilivyo tomaso sasa. Ningeambiwa na mtu ningebisha. Ila najionea nabaki hivi huyu ana akili kichwani au kajaza makabichi
Auntie ushaambiwa kuna majini humu ujue, vingine sio vya kuomba kabisa.








Nilishakwambia ubague. Wengine waache wapiteHahahaaaa you so silly!!
Kuanzia leo naanza ubaguzi....
Nikikurudia jihesabu una bahati ya mtende teh teh.
Anywho, I’m outta here.
Acha waendelee kufurahisha nafsi.









A ndo herufi yake ya mwisho.Herufi ya mwisho ni ipi?
Hao wa matusi wako wengi, wanaumiaga na sisi kama wametuzaa.hayo matusi kuna cha matusi akikuona tu ndio matusi yake
HahahahaTatizo sasa hawawezi jua upi ukweli upi uongo. Na wanaume walivyo watataka kujua jee ni kweli mdomo unanuka![]()
Sasa kama na wewe umesahau wanaosema umenila wameona wapi?Nilikukula wapi Mama Li? Mi nshasahau mwenzio....
Au labda wanataka nikukule?



Naiba kidogo tu jamaniHahahaaaaa!! Mzigua mwizi mzoefu.
Anarudia, mbona kwa mzigua karudia mara tatu. Nami nitataka tena.





anakwambia akirudia juwa ni bahati ya mtende kwahiyo mzigua ni bahati yakeHamna picha ya papuchi bwana. Labda yangu ndo iwe ya kwanzaPicha za papuchi zetu.