Mapenzi ni nini jamani?

Mapenzi ni nini jamani?

Yaani sijawahi kujutia kuifahamu jf aisee.
Mi sijuti ila kila siku nashangaa tabia za watu. Kuna tabia bila kuwa humu nisingejua zipo. Na nilivyo tomaso sasa. Ningeambiwa na mtu ningebisha. Ila najionea nabaki hivi huyu ana akili kichwani au kajaza makabichi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] myuesiei usianze ubaguzi ngoja utumalize sisi kwanza tunataka tukuje utukule ukimalizana na sisi ndio uanze ubaguzi

Aisee nyie wachuchu si mtaniua!!

Kisura bado anamhitaji daddy wake mjue [emoji16]
 
Hahahahaa. Ndo maana mi nachekega tu mtu akiongea vitu anavyoviwaza yeye. cha ajabu alieliwa ndo anatangaza flani kaliwa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom